Latest Posts
Nakiona kifo cha Tanzania
*Naendelea kusimama kama Galileo Galilei
Mjadala unaoendelea sasa miongoni mwa Watanzania wengi, ni huu unaohusu Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, iliyozinduliwa wiki iliyopita.
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
Mauaji ya Barlow wingu zito latanda
*Polisi wasema kijana aliyetaja mtandao ni mgonjwa wa akili
*Yeye asisitiza kuwa kichaa, analazimishwa dawa Muhimbili
*Ndugu waeleza historia, daktari anayemtibu aingia mitini
Jeshi la Polisi nchini limempeleka na kumlaza katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, kijana Mohamed Malele, mshirika wa mtandao uliohusika kumuua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow, wakidai ni mgonjwa wa akili.
RPC ‘atumika’ kuchangisha rushwa
* Watendaji wadaiwa kutumia jina lake kula rushwa kwa walima bangi
* RPC Tarime/Rorya awaruka, DC asema dawa yao inachemka
Maofisa watendaji wa Kijiji cha Kwisarara na Kata ya Bumera wanatuhumiwa kutumia jina la Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) wa Kipolisi Tarime/Rorya kuchukua rushwa ya fedha kutoka kwa wakulima wa zao haramu la bangi.
Rage ni tatizo Simba-Kalimauganga
Mwenyekiti wa Friends of Simba, Mkoa wa Tabora, Sadiki Kalimauganga, amesema kuwa kufanya vibaya kwa Wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club ya Dar es Salaam, katika Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika hivi karibuni, kunatokana na uongozi mbovu wa Ismael Aden Rage.
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
Habari mpya
- Katimba ataka watanzania wenye changamoto za mirathi kutumia huduma za RITA
- Serikali kujenga mtambo wa kuchenjua dhahabu Mwakitolyo Shinyanga
- ‘Rushwa janga kubwa linaloharibu mfumo wa utoaji haki’
- Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho
- DC Mpogolo: Sekondari Kitunda itakamilika kabla ya shule kufunguliwa
- Mchengerwa : Tanzania hatutaki kuwa soko duni la dawa
- Mndolwa akagua bwawa la ujenzi Mkomanzi, ujenzi wafikia asilimia 85
- Meya Kibaha KIBAHA aitaka DAWASA Kibaha kuacha kigugumizi, utatuzi kero ya maji Viziwaziwa
- EWURA, TRA kuimarisha ushirikiano
- DC Mpogolo: Ilala wanafanyakazi kwa umoja na mshikamano
- Waziri Kombo awasilisha ujumbe maalum wa Rais Dk Samia kwa Sultan wa Oman
- Serikali kuanzisha jukwaa la kidigitali kwa vijana
- Serikali yasisitiza usalama ,mapato mpakani Mutukula
- Uongozi wa APRM wakutana na viongozi wa vyuo vikuu
- 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗱𝗵𝗮𝗿𝘂𝗿𝗮 𝘄𝗮 𝗠𝗮𝘄𝗮𝘇𝗶𝗿𝗶 𝗜𝗖𝗚𝗟𝗥 – 𝗣𝗦𝗖 𝗙𝗿𝗮𝗺𝗲𝘄𝗼𝗿𝗸 𝘄𝗮𝗵𝗶𝗺𝗶𝘇𝗮 𝗷𝗶𝘁𝗶𝗵𝗮𝗱𝗮 𝘇𝗮 𝗽𝗮𝗺𝗼𝗷𝗮 𝘇𝗮 𝗻𝗰𝗵𝗶 𝘇𝗮 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮