Latest Posts
Muhongo akagua ujenzi bomba la gesi
Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ameeleza kuridhishwa kwake na kasi ya utandazaji na uunganishwaji wa mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam.
Mil 121/- ‘zatafunwa’ Hospitali ya Geita
Siri ya wizi wa Sh zaidi ya milioni 121 za Hospitali ya Wilaya ya Geita imefichuliwa. Imewekwa wazi na aliyekuwa Mhasibu wa Idara ya Afya hospitalini hapo, Frank Maganga, akimtaja aliyekuwa Mganga Mkuu wa Wilaya, Dk. Omary Dihenga, kutumia…
Vidonda vya tumbo na hatari zake (16)
Wiki iliyopita, Dk. Khamis Zephania alieleza vyanzo na madhara ya magonjwa ya saratani ya tumbo na vidonda vya tumbo kwa mama wajawazito. Sasa mfuatilie zaidi katika sehemu hii ya 16…
Jinsi vidonda vya tumbo vinavyochunguzwa
Salaam za Kagasheki kwa majangili
*Angependa wakikutwa maporini ‘wamalizwe’ huko huko
*Maelfu ya wananchi wakubali adhabu ya kifo kwa wahusika
*Muswada kuipa makali sheria kuwasilishwa Bunge lijalo
Muda ni saa 2 na dakika kadhaa asubuhi. Mbele ya Makao Makuu ya Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuna mamia ya watu wa rika, rangi na jinsi zote. Wana mabango yenye ujumbe maalumu.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
- Wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za mauaji wameachiwa huru
- Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026
- Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi
- Iran yatangaza kuufunga mlango Bahari wa Hormuz
- Zelenskiy : Trump ananishinikiza kupita kiasi
Habari mpya
- Wanafunzi waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za mauaji wameachiwa huru
- Serikali yatoa mwongozo wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2026
- Akwilapo asisitiza maeneo ya umma kupimwa na kulindwa kuepuka uvamizi
- Iran yatangaza kuufunga mlango Bahari wa Hormuz
- Zelenskiy : Trump ananishinikiza kupita kiasi
- Dk Dugange : Ushirikiano SJMT, SMZ ni nguzo hifadhi ya mazingira
- THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu
- Mtambo wa oksijeni waokoa maisha ya wananchi Lushoto
- Dk Mwigulu : Nikiondoka baadhi ya mawaziri wanabaki Tanga
- TRC yaanza rasmi usafirishaji mizigo kwa kutumia container carriers SGR
- Tume ya Uchunguzi yakutana na Waziri wa Mambo ya Nje
- Polisi watinga Ofisi za CUF Buguruni, Sakaya apinga uamuzi wa msajili
- Wajasiriamali Jimbo la Mtumba kukopeshwa bilioni 2 za mtaji
- Dk Mwigulu : Serikali itaendelea kuiboresha Bandari ya Tanga ili kukidhi ushindani
- Serikali yazindua awamu ya kwanza ya mradi wa kupeleka nishati safi ya kupikia