JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Runali chagawa pembejeo 3000 kwa wakulima zao korosho Nachingwea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Nachingwea Wakulima wa zao la Korosho katika vijiji vya Kiparamtuwa na Farmseventine katika WIlaya ya Nachingwea mkoani Lindi wameipongeza Serikali kupitia Wizara ya kilimo na Chakula kwa kuwapatia pembejeo za ruzuku aina ya Simba Sulphur Dust…

Uboreshaji bandari ya Karema unaofanywa na Serikali kupitia TPA wavutia wawekezaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Katavi MABORESHO na ujenzi wa miundombinu ya kisasa inayofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imevutia wawekezaji katika Bandari ya Karema iliyopo Ziwa Tanganyika, mkoani Katavi, Wilaya ya Tangabyika. Hayo yameelezwa leo…

Ubovu wa barabara Arusha, kikwazo cha maendeleo, usalama na hadhi ya Jiji la Kitalii

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Jiji la Arusha, moja ya miji muhimu ya kitalii na kibiashara nchini Tanzania, linakabiliwa na changamoto kubwa ya ubovu wa barabara, hasa zile zilizopo katikati ya mji. Barabara nyingi ni nyembamba na hazijaendelezwa kulingana na…

Rais Samia aongoza Watanzania mazishi ya hayati Cleopa Davis Msuya wilayani Mwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameongoza waombolezaji katika ibada ya kuuaga mwili wa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Hayati Cleopa David Msuya, iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri…