Latest Posts
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kunani tena kwa Hasheem Thabeet?
Klabu ya Pistons inayoshiriki kwenye Ligi ya Kikapu ya Marekani maarufu kama NBA, imemtema rasmi mchezaji Mtanzania, Hasheem Thabeet, pamoja na nyota wengine wanne.
Rage azitabiria mabaya Simba, Yanga
Mwenyekiti mstaafu wa Simba ya jijini Dar es Salaam, Ismail Aden Rage, amesema kwamba michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu itakuwa ngumu kwa timu za Simba na Yanga.
Ole kwa mabenki!
Miezi kadhaa nyuma nilikuwa safarini katika moja ya miji iliyopo Nyanda za Juu Kusini. Nilipofika stendi kuna kitu kimoja kilinivutia na nikaamua kukitafakari kwa umakini zaidi.
Jifunze namna ya kuunda kampuni
- Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
- Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
- Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
- Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu
- Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu
Habari mpya
- Zaidi ya ajira 50,000 zimezalishwa kutokana na miradi mikubwa ya Serikali
- Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma
- Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru
- Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu
- Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu
- Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani
- Chimwejo: Sekta binfasi iongeze nguvu kuzalisha mabaharia
- TB yatibiwa ndani ya miezi sita
- TMA yatoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa kwa mikoa mitano
- Lazarus Chakwera Rais Mstaafu Malawi awasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi
- Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta
- Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Dodoma
- Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi