Latest Posts
Jifunze namna ya kuunda kampuni
Yah: Kipi kiwe kigezo cha urais kwa sasa Tanzania?
Mwaka 1995, Mwalimu Nyerere alisimama katika majukwaa ya kuongea na wananchi juu ya kiongozi safi na anayefaa kuiongoza nchi yetu katika awamu ya tatu, alisimama akaongea mengi sana ambayo mengine hadi leo hayajafanyiwa kazi na awamu zote zilizokuwapo na kupita.
Miaka 69 ya Umoja wa Mataifa, dunia iko salama?
Ijumaa iliyopita Oktoba 24, mwaka huu ulimwengu uliadhimisha miaka 69 tangu kuanzishwa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York nchini Marekani. Ilikuwa ni baada ya Vita Kuu vya Pili ya Dunia kumalizika (1939-1945).
Tatizo la Tanzania si Katiba
Ujio wa Katiba mpya unasubiriwa kwa shauku kubwa na wananchi ambao naweza kusema wanapenda kumaliza matatizo kwa njia za kujipa matumaini.
Ombwe kamwe halikubaliki
Mwenyezi Mungu alipoumba dunia yetu alipanga kila kitu kujiendesha kwa namna ya ajabu. Viumbehai na visivyokuwa hai vyote vilipangiliwa kimaajabu kabisa kwa kadiri ya huo utaratibu wa Muumba wetu.
Athari za Serikali kupuuza vyombo vya habari
Sisi sote tunatarajia vyombo vya habari na mchango wake wa Taifa letu. Kwa jumla vyombo vya habari hufanya kazi tatu. Huelimisha, huchochea maendeleo na huburudisha. Lakini pia vyombo vya habari hupunguza tatizo la ajira. Hutoa ajira.
Habari mpya
- Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani
- Chimwejo: Sekta binfasi iongeze nguvu kuzalisha mabaharia
- TB yatibiwa ndani ya miezi sita
- TMA yatoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa kwa mikoa mitano
- Lazarus Chakwera Rais Mstaafu Malawi awasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi
- Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta
- Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Dodoma
- Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi
- Bei ya mafuta yashuka duniani
- Serikali yainua utalii tiba kwa wagonjwa wa nje hadi kufikia 3,018
- Waziri Ndejembi akutana na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati
- Rais wa Uganda akutana na Rais Mstaafu Dk Kikwete
- Mkenda: Tuzo ya Mwalimu Nyerere kuendeleza Kiswahili