Latest Posts
Mipasho Bunge la Katiba ikomeshwe
Bunge Maalum la Katiba limeahirisha vikao vyake hadi Agosti mwaka huu, kupisha vikao vya Bunge la Bajeti vitakavyopokea na kujadili taarifa za mapato na matumizi ya Serikali ya Muungano kwa mwaka 2014/2015.
Bunge hilo kabla ya kuahirishwa Aprili 25, mwaka huu kwa takriban miezi miwili, yaani tangu Februari 18, mwaka huu wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba walikuwa katika vikao vizito, wakifanya mambo makuu mawili. Watanzania tumeshuhudia.
Kwanini Zanzibar?
Hili ni swali linalogonga vichwa vya wananchi wengi siku hizi. Hivi karibuni kule bungeni Dodoma kulitokea kadhia kubwa iliyosababisha baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kususia vikao na kutoka nje ya bunge hili.
IGP Mangu dhibiti udhaifu huu
Katika siku za karibuni, Jeshi la Polisi Tanzania limechukua hatua mbalimbali za kujisafisha mbele ya umma. Ni baada ya kubaini kwamba wananchi wengi walikuwa hawaridhiki na utendaji wa chombo hiki cha dola.
Yah: Litakuwa Taifa la watoto, wazee
Nianze kwa kuwapongeza kutimiza miaka makumi kadhaa ya Muungano, yaani Muungano ambao leo mnadai kuwa una kero ambazo sisi wakati tukiungana tuliona siyo kero za Muungano bali ni chachu za Muungano, na ndizo zinazofanya utamu wa Muungano kuwapo. Sina hakika,…
Kipande abanwa Bandari
Nyalandu aweweseka siri kuvuja
*Aanza kuwasaka wabaya wake, awatisha Aprili 22, mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akiwa na baadhi ya watendaji waandamizi wa Wizara hiyo mjini Dodoma, alitoa vitisho akiahidi kuwashughulikia wote aliodai kuwa wanavujisha siri za ofisi kwa watu…
- Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
- Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
- Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera
- Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi
- TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania
Habari mpya
- Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita
- Misaada ya maendeleo yapungua kwa asilimia 23.1 mwaka 2025
- Msajili vyama vya siasa ateta na Rais wa zamani wa Malawi Chakwera
- Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi
- TBL yatoa wito wa hatua za pamoja za kukabiliana na hatari za pombe haramu Tanzania
- Jaji Masaju : Usuluhishi njia halali ya upatikanaji haki
- Mikopo ya Bilioni 2.6/- yatolewa na Halmashauri ya Jiji la Arusha
- CCM Kibaha Mjini yashirikiana na RITA kusogeza huduma kwa wananchi
- Serikali yaboresha ufanisi wa uingizaji bidhaa za afya kwa kuunganisha mifumo
- Hemed : Katangulizeni maslahi ya Tanzania
- Samamba atoa wito GST kuboresha mazingirea ya kazi, kuimarisha ushirikiano
- Rais Dk Mwinyi : Zanzibar kuimarisha ushirikiano na WHO katika kuboresha sekta ya afya
- Taasisi za umma zatakiwa kufanya mapitio ya sera, sheria na kanuni zinazokinzana ili kuboresha mnyororo wa ugavi
- Tanzania yaeleza mafanikio na fursa za uwekezaji sekta ya makazi katika kongamano la miji Afrika
- Rais wa zamani wa Malawi Chakwera akutana na Waziri Kombo