Latest Posts
Udini sasa nongwa (2)
Ningependa nioneshe pia kuwa wapo wasomi wasiojiamini kabisa ingawa wana shahada za vyuo viikuu. Kama si upotoshaji wa kukusudia, basi hawana elimu (not liberated mentally), ni wajinga ingawa wamesoma (have been to school but not educated).
Kamati ya wadau wa habari ituondolee hofu
Wiki iliyopita, wadau wa habari kupitia Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), waliunda kamati ya watu 16 kwa ajili ya kukutana na wakuu wa vyombo vya usalama nchini.
Pole sana kaka Absalom Kibanda
Ninahuzunika juu yako kaka yangu Absalom Kibanda. Moyo wangu umejaa uchungu. Kibanda wamekutenda vibaya, wamekuteka, wamekushambulia na kukujeruhi vibaya! Wamekusababishia kilema.
‘Tumieni vyakula asilia’
Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kutumia vyakula asilia, vikiwamo mbogamboga na matunda kupunguza kemikali, kutibu magonjwa na kusafisha damu mwilini.
Wanawake waelimishwa
Imeelezwa kwamba tatizo la wanawake wasiojua haki zao za mirathi limepungua kwa asilimia 50 kufikia mwaka huu.
Ikiwa mahakama huru, tutarajie uchaguzi mpya Kenya
Najua kuwa wanahabari tunaombeleza. Tunaombeleza si kwa sababu ndani ya mwezi huu kuna mwenzetu ameuawa, bali mwenzetu Absalom Kibanda ametekwa, ametolewa jicho, ameng’olewa kucha na kukatwa kodole. Amepewa ulemavu wa kudumu.