Latest Posts
Tanzania tuige Bunge la Kenya
Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama nchini Kenya imeonesha mfano mzuri unaostahili kuigwa hapa Tanzania. Kamati hiyo imetangaza kusudia lake la kuwahoji wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wa Kenya kuhusu tukio la ugaidi katika jengo la kitega uchumi, Westgate jijini Nairobi.
Utapeli udhibitiwe Tanzania
Maoni ya Mhariri wa JAMHURI wiki iliyopita, yalipendekeza mtandao wa utapeli wa madini uliopo hapa nchini uvunjwe kwa sababu unaathiri uchumi, heshima na sifa ya Watanzania mbele ya uso wa Dunia. Kwamba watoto na wajukuu wao watakosa wa kufanya naye biashara, hivyo Taifa letu kuendelea kuwa tegemezi.
Vidonda vya tumbo na hatari zake (15)
Katika sehemu ya 14 ya mfululizo wa makala haya, Dk. Khamis Ibrahim Zephania alieleza sababu za kutoka damu na saratani ya tumbo. Sasa endelea kumfuatilia zaidi…
Usahihi kuhusu Shelutete
Katika toleo lililopita la Septemba 24-30, 2013 kwenye ukurasa huu, kulikuwa na barua iliyoeleza ufisadi katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.
Tunataka viongozi kama Mwalimu Nyerere
Ndugu Mhariri,
Siasa ni mfumo wa utawala wenye kuleta ustawi wa nchi kimaendeleo, utumikao duniani kote. Mfumo huu umejengeka kwa misingi yake kutokana na kubeba mhimili mkubwa wa nchi au taifa lolote.
JWTZ yasafisha M23
*Waasi wakimbilia porini, washindia matunda mwitu
*Zuma atoa makombora yatumike ikiwa wataendelea
*Hatima yasubiriwa Uganda, silaha njaa kuwatoa porini
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kushirikiana na majeshi washirika ya kimataifa, limewafurumusha askari wote wa kundi la M23 kutoka katika ardhi ya Mji wa Goma, uchunguzi umebaini.