JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vikosi vya kulinda amani vya Umoja wa Mataifa kupunguzwa

Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25. Umoja wa Mataifa utalazimika kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote kwa karibu asilimia 25 kutokana na ukosefu wa fedha, unaohusishwa zaidi na…

Uwekezaji wa Serikali wafikia Sh92.3 trilioni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji uliofanywa na serikali ndani na nje ya nchi umeongezeka kwa asilimia 7 hadi kufikia Sh92.29 trilioni Juni 30, 2025 kutoka Sh86.3 trilioni katika mwaka wa fedha 2023/24. Uwekezaji huu wa serikali unahusisha…

ACT Wazalendo kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi, yawaomba wananchi wakipe ridhaa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Chama cha ACT Wazalendo kimeahidi kukomesha changamoto ya migogoro ya ardhi endapo wananchi watakipa ridhaa ya kuongoza kwa kuchagua wabunge na madiwani wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Akifafanua wakati wa…

ACT -Wazalendo Zanzibar yazindua ilani, yataja sera nne zitakazoinusuru Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo ,Othman Masoud Othamn amezindua rasmi Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kwa mwaka 2025 -2030 huku akihaidi kurejesha imani kwa Wazanzibar kwa kuweka mbele…

Kagera wahimizwa kujiepusha chokochoko zinazoweza kusababisha uvunjifu wa amani

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Katika kuelekea kufanyika zoezi la uchaguzi mkuu mnamo Oktoba 29, 2025 wananchi mkoani Kagera na kwingineko nchini wameaswa kutokujihusisha na mambo yenye viashiria vya uvunjifu wa amani ili kuepukana na vurugu zinazoweza kuhatarisha usalama nchini….