JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Papa Leo ahuzunishwa na mauaji ya watoto Iran

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV (14 ) amesikitishwa na vifo vya raia wengi katika vita vya Iran. Vita vya Israel na Marekani dhidi ya Iran vimeingia siku yake ya 12. Papa pia ameelezea kuwa karibu na watu…

Tanzania, Uganda zaainisha maeneo manne ya ushirikiano wa kimkakati

TANZANIA na Uganda zimekutana kupitia maeneo ya ushirikiano wa maendeleo ya pamoja ya kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizo mbili rafiki, katika Mkutano wa Tano (5) wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) Machi 11, 2026 Hatua hiyo imekuja…

Msajili wa Hazina na Arise Investments kuimarisha uwekezaji NMB

Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, leo Machi 11, 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Gavin Tipper, Afisa Mtendaji Mkuu wa Arise Investments, pamoja na ujumbe wake katika ofisi yake jijini Dar es Salaam,…

Mradi wa Lupali mbioni kukamilika, kuingiza umeme gridi ya Taifa kilowati 317

Na Stella Aron, JamhuriMedia, Njombe Ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa Lupali unaotumia nguvu ya maporomoko madogo ya maji ya mto Lupali umefikia asilimia 99 ambao ukikamilika utaingizwa kwenye gridi ya taifa kilowati 317 na kuchangia upatikanaji umeme wa…

Balozi Mbundi akutana na wanachuo NDC asisitiza ushirikiano wa kimataifa

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Stephen Mbundi amekutana na Washiriki wa Kozi ya 14 kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi  (NDC) waliotembelea Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…

Serikali yapendekeza kukusanya na kutumia trilioni 62.334/- kwa mwaka wa fedha 2026/27

Na. Peter Haule na Josephine Majura, WF, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, (Mb), amewasilisha Mapendekezo ya Mfumo na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27, ambapo katika kipindi hicho, inatarajia kukusanya nakutumia shilingi…