JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Waomba kuanzishwa masoko ya madini visiwani Zanzibar

📍 Zanzibar | Januari 10, 2026 Wananchi wa Zanzibar wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuanzisha masoko na minada rasmi ya madini Visiwani humo ili kuwawezesha wafanyabiashara, wachimbaji wadogo na wawekezaji kufanya biashara ya madini kwa uwazi, usalama na bei…

Salome Makamba : Mradi wa umeme jua Kishapu uko mbioni kukamilika

📌Asema jumla ya Megawati 50 kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa 📌Ampongeza Mhe. Rais kwa uwekezaji Mkubwa wa Miradi ya umeme Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Mradi wa Umeme unaozalishwa kwa nguvu ya Jua uliopo Kishapu, Mkoani Shinyanga,…

Tanzania, China zakubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Wang Yi, na kukubaliana…

Mafanikio ya mapambano ya dawa za kulevya, wahamia kwenye ulevi wa pombe kupindukia

Baada ya Tanzania kupiga hatua kubwa katika kudhibiti na kukomesha biashara na matumizi ya dawa za kulevya, Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema nchi sasa inakabiliwa na changamoto mpya ya kuongezeka kwa ulevi wa pombe,…

TEITI yaimarisha elimu kwa umma, kuhusu manufaa ya rasilimali za madini na gesi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia (TEITI) imesema imeendelea kuhimiza uwazi na uwajibikaji katika usimamizi wa rasilimali za nchi, ili kuhakikisha wananchi wananufaika na shughuli za uchimbaji…

Silinde akoshwa na hatua ya miradi mitatu ya umwagiliaji Mara, Shinyanga na Simiyu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu NAIBU Waziri wa Kilimo David Silinde (Mb), ameeleza kuridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi mitatu mikubwa ya umwagiliaji ikiwemo ujenzi wa Bwawa la Nyida lililopo mkoani Shinyanga, Kasoli Bariadi mkoani Simiyu na Bugwema mkoani…