JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yajidhatiti kuendelea kuiboresha sekta ya Horticulture

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea na jitihada zake za kukuza sekta ya horticulture kama injini muhimu ya mageuzi ya kiuchumi, ajira, kipato na mauzo ya nje. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 12,2025 Jijini Dar es…

Waethiopia 38 washikiliwa kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Tadesa Limoli (32) raia wa nchini Ethiopia na wenzake 37 wote wanaume kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria. Watuhumiwa walikamatwa mnamo Novemba 11, 2025 huko katika Pori la ranchi ya Matebete…

Serikali yajikita kuboresha mfumo wa utoaji gawio

Na Mwandishi wa OMH, Zanzibar Ofisi ya Msajili wa Hazina (Tanzania) imeshiriki kikao cha wadau cha kuwasilisha Rasimu ya Muongozo wa Uandaaji wa Sera ya Gawio kwa taasisi za uwekezaji wa umma Zanzibar. Kikao hicho, kilichofanyika Jumanne, Novemba 11, 2025,…

Mafia na mikakati endelevu kupambana na taka baharini

Na Mwamvua Mwinyi, Mafia KATIKA mwambao wa Mashariki mwa Tanzania, Kisiwa cha Mafia kinajulikana kwa utulivu wake wa asili, mandhari ya kuvutia ya bahari na matumbawe yaliyojaa uhai.  Hata hivyo, chini ya uso wa samawati wa maji yake, changamoto ya…

Magereza :Njooni muwaone ndugu na kuwapa mahitaji mahabusu, TLS kutoa msaada wa kisheria

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Jeshi la Magereza limewashauri maelekezo wazazi/Nlndugu jamaa na marafiki wa vijana ambao walikamatwa Oktoba 29,30,2025 na wamekwisha fikishwa mahakamani kufika mahabusu kuwaona ndugu zao ikiwemo kuwapelekea mavazi na mahitaji mengineyo . Itakumbukwa 7,…

Dorothy Gwajima aahidi kulitumikia taifa kwa uaminifu

Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ameapishwa na kula kiapo cha uaminifu na ahadi ya uzalendo mbele ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu mara baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…