Latest Posts
Rais Samia kujenga kituo kikubwa Dodoma cha kusambaza umeme nchini – Dk Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kubwa ya mfano katika sekta ya Nishati ambapo amesema Mkoa wa Dodoma muda si mrefu utakuwa ni kitovu cha usambazaji…
JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…
Tanzania yazoa medali za riadha FEASSA 2025
OR-TAMISEMI, Kenya Tanzania imeendelea kung’ara katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Shule za Msingi na Sekondari Afrika Mashariki (FEASSA 2025) baada ya kufanya vizuri kwenye michezo ya riadha na kujinyakulia medali nyingi katika fainali zilizofanyika mjini Kakamega, Kenya. Mashindano…
Mwenyekiti CCM aongoza kikao cha uteuzi wa wagombea ubunge
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma kwa ajili ya kufanya uteuzi wa…
Bodi ya ushauri TARURA yaipa heko Serikali ujenzi daraja la Mohoro
*TARURA kuendelea kuondoa vikwazo vya miundombinu *Wananchi waaswa kutunza miundombinu ya daraja Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Florian Kabaka ameishukuru Serikali kwa kuwezesha Wakala huo…