Latest Posts
WHO: Mazingira ya hospitali za Gaza ni duni na hayaelezeki
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa mazingira ndani ya hospitali ya Gaza ni ya kutamausha baada ya taasisi hiyo kushambuliwa kwa makombora na Israel. Msemaji wa WHO Dkt. Margaret Harris ameiambia BBC kuwa ukanda wa Gaza unashuhudia mashambulizi mara…
Trump: Iran inatufanyia mchezo kuafikiana kuhusu Nyuklia
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa anaamini Iran inachelewesha kwa makusudi kufikiwa kwa makubaliano ya nyuklia, akionya kuwa hatua hiyo inaweza kuigharimu nchi hiyo kwa kiasi kikubwa, ikiwemo uwezekano wa kushambuliwa kijeshi. Akizungumza na waandishi wa habari nchini Oman…
Urusi : Sio rahisi kufikia amani Ukraine na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema kuwa sio rahisi kufikia makubaliano na Marekani kuhusu vipengele muhimu vya makubaliano ya amani yanayoweza kusitisha vita nchini Ukraine. Rais wa Marekani Donald Trump, ambaye anasema anataka kukumbukwa kama mleta…
Chana awaasa wananchi Makete kuacha kuvamia maeneo ya hifadhi
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Makete Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewaasa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete Mkoani Njombe kuacha kuvamia maeneo yaliyohifadhiwa huku akiwataka kuyatumia maeneo hayo katika kujiongezea kipato ili kuwa na…
Kikwete awasilisha ujumbe maalum wa Rais Samia nchini Congo
Rais wa Awamu ya Nne na Mjumbe Maalum wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amewasilisha Ujumbe Maalum kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Congo (Congo Brazzaville), Mhe. Collinet Makosso Anatole. Anatole alipokea ujumbe huo wa maandishi…





