JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Dkt Samia : Nimeridhishwa na maendeleo Mradi wa Umwagiliaji Mkomazi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa Umwagiliaji Mkomazi unaofekelezwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) mkoani Tanga. Amesema, mradi huo umezungumzwa kwa miaka zaidi ya 50 sasa Serikali…

TPA yatoa ripoti ya mafanikio ya bandari tangu kuingia kwa Serikali ya Awamu ya Sita madarakani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema tangu Serikali ya awamu ya Sita iingie madarakani,mapato ya mamlaka hiyo yameongezeka kutoka shilingi trilion 1.1 Mwaka wa Fedha 2021/22 hadi shilingi trilion 1.475 Mwaka wa Fedha 2023/24….

Papa Francis bado yuko hali mbaya kiafya

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada ya vipimo vya damu kuonyesha dalili za mapema za kushindwa kwa figo. Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis yuko katika hali mbaya ya kiafya baada…

Waziri wa New Zealand ajiuzulu

Waziri wa biashara wa New Zealand Andrew Bayly amejiuzulu kama waziri wa serikali baada ya ‘kuigusa’ sehemu ya juu ya mkono wa mfanyakazi wake wiki iliyopita, katika kile alichoelezea kama tabia ya ‘kupindukia’. Bayly alisema siku ya Jumatatu kwamba “anasikitika…