JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mbunge Mavunde akabidhi jengo la kupumnzikia wananchi Hospitali ya Rufaa Dodoma

▪️RC Senyamule ampongeza kwa jengo na uanzishwaji wa ujenzi wa uzio ▪️Rais Samia apongezwa kwa maboresho makubwa ya huduma ya Afya ▪️Wananchi wamshukuru Mbunge Mavunde kwa utatuzi wa changamoto ya muda mrefu. Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony…

Serikali yajenga bandari nyingine Zanzibar kulinda mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI inajenga bandari nyingine nje ya Manispaa ya Mtwara Mikindani itakayotumika kusafirisha bidhaa chafuzi kwa mazingira na afya kama vile saruji na makaa ya mawe, ili magari yote yanayobeba makaa ya mawe kupita nje ya…

Senyamule: Kila Mtanzania awe mjumbe wa mapambano dhidi ya dawa za kulevya

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki katika maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Kupinga Dawa za Kulevya Duniani, akisisitiza kuwa tatizo hilo ni tishio la moja…

Waziri Mkuu ammwagia sifa Mkurugenzi Mkuu STAMICO, avutiwa na mafanikio makubwa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa Majaliwa amevutiwa na utendaji na mafanikio iliyopata Shirika la Maendeleo la Taifa (STAMICO) kwa kipindi kifupi. Pongezi hizo alizotoa leo tarehe 24 Juni,2025 jijini Dodoma katika hotuba yake wakati wa uzinduzi…

Zimamoto 444 washiriki kuzima moto wa nyika nchini Ugiriki

Mamia ya maafisa wa zimamoto wanaendelea kupambana kwa siku ya tatu mfululizo na moto mkubwa wa nyika uliosambaa katika maeneo mbalimbali ya kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki, baada ya kutangazwa hali ya dharura. Juhudi za kuudhibiti moto huo zimehusisha jumla…