Latest Posts
Wakazi Kitunda, Kivule, Msongola waanza kuona mwanga, Serikali yawakumbuka
Na John Mapepele, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemtaka mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Barabara ya Banana – Kitunda – Kivule – Msongola na Kivule – Majohe Junction, barabara za Kiwalani na Migombani kukamilika…
Pwani yafanya jitihada za kutokomeza malaria kufikia 2030
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani unatarajia kugawa vyandarua 971,939 katika kampeni ya ugawaji wa vyandarua bure kwa kaya 426,637, kampeni itakayoanza Agosti 15, 2025. Kampeni hiyo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kutokomeza ugonjwa wa malaria…
Mtendaji wa Kijiji adaiwa kujiua kwa sumu ya panya
MTENDAJI wa Kijiji cha Ulowa Namba Moja, Kata ya Ulowa, Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Juliana Mkumbo (30) anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu ya panya. Kamanda wa Jeshi la Polisi, Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi alithibitisha kutokea kwa…
Wagombea ubunge, udiwani CCM sasa kujulikana Julai 28
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuwa kikao cha mwisho cha uteuzi wa wagombea wake wa nafasi za Ubunge na Udiwani kimepangwa kufanyika tarehe 28 Julai, 2025, badala ya Julai 19 kama ilivyokuwa imepangwa awali. Akizungumza na waandishi wa habari leo…
Pochi ya Rais Samia yafunguka, bil. 98.893 kuimarisha elimu ya sekondari Mbeya na Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa zaidi ya Shilingi Bilioni 98.893 kwa ajili ya kuimarisha sekta ya elimu katika mkoa wa Mbeya na Mtwara. Fedha hizo zimetolewa kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa…