JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

TANROADS inaendelea na utekelezaji wa miradi ya bilioni 383/- Mbeya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Serikali inaendelea na Ujenzi wa Barabara ya Njia Nne (Dual Carriageway) 29km Kuanzia Uyole (Nsalaga) hadi Ifisi yenye urefu wa kilomita 29, mradi huo unatekelezwa na Mkandarasi M/s China Henan International Cooperation Group Co. Ltd…

Dk Samia : Tutajenga kingo mto Kanoni kukomesha mafuriko Bukoba

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi Serikali yake itakayoundwa endapo atachaguliwa kuingia madarakani mwakani, itatekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa kingo za kudumu katika Mto Kanoni, hatua…

Trump kukutana na Zelenskyy baada ya kuzungumza na Putin

Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine mjini Washington leo siku moja baada ya kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Urusi yaliyojadili hatua za kumaliza vita. Trump amesema mazungumzo yake kwa njia ya simu…

Ruto: Nitakuwa mwaminifu kwa kile tulichokubaliana na Raila

Rais William Ruto ametoa salamu za kibinafsi na za kihisia kwa marehemu Raila Amolo Odinga, Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa upinzani, na kuthibitisha kwamba atakuwa mwaminifu kwa kile walichokubaliana kuhusu mustakabali wa Kenya. Katika salamu zake…

Waziri Mkuu aelezwa faida za kilimo ikolojia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa Kilimo Ikolojia nchini wamemueleza na kumuoneshaWaziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa faida za kilimo ikolojia katika kujenga taifa lenye jamii na mazingira endelevu. Waziri Mkuu Majaliwa amepata maelezo hayo baada ya kutembelea banda…

Serikali yaitaka NIDA kuboresha utendajikazi, yaipatia magari 140

Serikali imeipatia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) magari mapya 140 ili kuboresha zaidi utendaji kazi wa Mamlaka hiyo, hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na hasa ikizingatiwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zlizokuwa zikiikabili Mamlaka hiyo ilikuwa ni uhaba…