Rais Dkt. Samia akizungumza mara baada ya kumuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
JamhuriComments Off on Rais Dkt. Samia akizungumza mara baada ya kumuapisha Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kumuapisha Mhe. Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2025.