Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
May 14, 2024
Kimataifa
Rais Samia ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia Ufaransa
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia Ufaransa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Nishati (IEA) Mhe. Dkt. Fatih Birol mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa akiwa Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia, Afrika. Rais Samia anashiriki Mkutano huo wa Kimataifa tarehe 14 Mei, 2024.Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa akiwa Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia, Afrika. Rais Samia anashiriki Mkutano huo wa Kimataifa tarehe 14 Mei, 2024.Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Nishati (IEA) Mhe. Dkt. Fatih Birol mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa akiwa Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia, Afrika. Rais Samia anashiriki Mkutano huo wa Kimataifa tarehe 14 Mei, 2024.Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ambaye ni Kinara wa Nishati Safi ya kupikia, Afrika akishiriki Mkutano huo wa Kimataifa tarehe 14 Mei, 2024 katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa. Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Nishati (IEA) Mhe. Dkt. Fatih Birol pamoja na Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa akiwa Kinara wa Nishati Safi ya Kupikia, Afrika. Rais Samia anashiriki Mkutano huo wa Kimataifa tarehe 14 Mei, 2024.Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika uliofanyika katika Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Rais Samia pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano huo wa Kimataifa ambao umewakutanisha viongozi kutoka sehemu mbalimbali Duniani.
Post Views:
333
Previous Post
SMZ kushirikiana na GEL kupeleka wanafunzi nje ya nchi
Next Post
Wananchi Iringa watakiwa kulinda miundombinu ya barabara kwa matumizi endelevu
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Habari mpya
‘Hakuna mashaka kuhusu ukubwa wa wa Chama Cha Mapinduzi’
Matukio mbalimbali wakati Mkutano Mkuu wa CCM
Wasira ndiye Makamu Mwenyekiti CCM
Lissu ametoa taarifa za uongo, sijatoa rushwa popote – Naftal
JKCI wafundishwa teknolojia ya kisasa ya kuziba matundu ya moyo
Kagame ailaani Jumuiya ya Kimataifa kutilia shaka Rwanda
Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu kuelekea mkutano mkuu maalumu wa CCM
Rais Samia ateua na kuhamisha viongozi
Shirikisho la Waandishi wa habari Afrika Mashariki laanzishwa kutetea haki za wanahabari
TLSB: Serikali mwaka huu itatenga fedha nyingi za ununuzi wa vitabu vya ndani
Kwenye uchaguzi wa BAVICHA rushwa ilikuwepo -Wakili Mahinyila
Lema amjibu Wenje, amuita muongo
UNCDF yataka jamii kuelimishwa zaidi matumizi ya nishati safi
Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel
NCC yahimiza ujenzi wa majengo salama na yanayozingatia afya ya watumiaji