Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Angola Mhe. Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço wakizungumza katika mkutano wa Waandishi wa Habari uliofanyika katika Ikulu ya Luanda nchini Angola tarehe 08 Aprili, 2025.