Rais Samia na Rais wa Jamhuri ya Finland wakishiriki kuimba wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland
JamhuriComments Off on Rais Samia na Rais wa Jamhuri ya Finland wakishiriki kuimba wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Finland Mhe. Alexander Stubb wakati wimbo wa Taifa wa Tanzania na ule wa Finland ukiimbwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Mei, 2025.