

Dkt. Samia anatarajiwa kunadi ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2025/ 2030 na kuelezea utekelezaji wa ilani iliyopita sambamba na kuomba ridhaa ya Watanzania kumchagua kwa kura nyingi za ndiyo katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani ifikapo Oktoba 29, 2025.

