JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: cuf

BREAKING: Madiwani Wawili CUF Wahamia CCM

Chama Cha Wananchi (CUF) kimeendelea kupata pigo, baada ya madiwani wake wawili kujivua uanachama wa chama hicho na kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).   Madiwani hao wa Kata ya Kilindoni, Hamad Musa na Hassani Mohammed wa Kata ya Jibondo wilayani…

CUF WAMFUKUZA JULIUS MTATIRO UANACHAMA KWA KUTOKULIPIA KADI YA UANACHAMA

KADA wa Chama cha Wananchi (CUF) ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya chama hicho, Julius Mtatiro, amevuliwa uanachama wa chama hicho na Uongozi wa CUF Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam. Akitangaza uamuzi huo mapema siku…

PROF. LIPUMBA AMCHANA LIVE MALIM SELF

Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema chama hicho hakina nguvu kama awali kutokana na kutoshiriki uchaguzi wa marudio Zanzibar. Akizungumza leo Februari 24, 2018 katika mkutano wa ndani na wananchama…

KATIBU MKUU WA CUF, MAALIM SEIF AMPONGEZA RIS MAGUFULI

Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, kwa kuiongoza nchi vizuri kwa mwaka uliopita wa 2017. Seif ametoa pongezi hizo katika salamu zake za mwisho…

HAWA HAPA WANACHAMA WA CUF WALIOJIUNGA NA CCM, RUANGWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea wanachama wapya 60 kutoka Chama cha Wananchi (CUF) ambao wameamua kurejea Chama cha Mapinduzi (CCM). Wanachama hao wamepokelewa jana (Ijumaa, Desemba 29, 2017) kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye kijiji cha Nkowe kata ya Nkowe,…

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam Imekubali Maombi ya Zuio la Muda kwa Bodi ya Wadhamini ya CUF

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali maombi ya zuio la muda kwa Bodi ya Wadhamini ya CUF inayomuunga mkono Mwenyekiti anayetambuliwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, Profesa Ibrahim Lipumba, katika shauri dogo namba 51/2017, lililowasilishwa…