Lusinde Ajivunia Mtoto ‘Kipanga’

Kuna usemi usemao unapopima maendeleo ya mtu usiangalie alipo, angalia mahali alipotokea. Usemi huo ndiyo unayagusa maisha ya Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), hususani katika muktadha wa elimu. Lusinde amekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtera, Mkoani Dodoma katika vipindi viwili, akianza utumishi huo kwa wanamtera tangu uchaguzi wa 2010. Katika uchaguzi ndani ya Chama…

Read More