JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: polepole

UZINDUA WA MUONEKANO MPYA WA GAZETI LA UHURU

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Idara ya Itikadi na Uendezi Humphrey Polepole (wapili kushoto) akifurahia nakala ya gazeti la Uhuru baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo katika hafla iliyofanyika kwenye Ofisi za Uhuru Publications Limited UPL),…

HUMPREY POLEPOLE AWAPIGA VIJEMBE CHADEMA

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter amewatupia kijembe Chama Kikuu cha Upinzania CHADEMA, kutokana na kumteua mgombea wa Ubunge jimbo la Siha Mkoa Kilimanjaro kwenye uchanguzi mdogo unatarajiwa…

HUMPHREY POLEPOLE AMTADHARISHA LEMA JIMBO LA ARUSHA 2020

Katibu wa Itikadi na Uenezi  wa  Chama Cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole amemtahadharisha Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kwa kumwambia kipindi hiki ni cha mwisho kuongoza Jimbo hilo la Arusha Mjini. Hayo yamekuja mara baada ya Mbunge huyo kupitia…

POLEPOLE: VIONGOZI WA DINI ENDELEENI KUTOA MAONI

KATIBU  wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole amesema Askofu Zakaria Kakobe  na viongozi wengine wa dini  hawajazuiwa kuongea na kwamba wako huru kutoa maoni yao. Polepole ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo kimoja cha…