UZINDUA WA MUONEKANO MPYA WA GAZETI LA UHURU

 Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Idara ya Itikadi na Uendezi Humphrey Polepole (wapili kushoto) akifurahia nakala ya gazeti la Uhuru baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo katika hafla iliyofanyika kwenye Ofisi za Uhuru Publications Limited UPL), mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Said Nguba aliyewahi kuwa Mhariri Mtendaji wa UPL, na Wengine kutoka watatu kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rhoda Kangero, Mhariri Mtendaji wa zamani wa UPL Jose[h Kulangwa na Kaim Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali
MWANZO
 Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rdhoda Kangero akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa UHURU FM Angel Akilimali (kulia) wakati akimsubiri Polepole kuwasili ofisi za UPL kuzindua muonekano mpya wa gazeti la Uhuru, leo
 Katibu wa NEC ya CCM Humphrey Polepole akisalimiana na baadhi ya maofisa wa UPL baada ya kuwasili. Kushoto ni Kaimu MJhariri Mterndaji wa UPL Rhoda Kangero na kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali.
 Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rhoda Kangero akimpeleka Ndugu Polepole ofisini
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisini kwa Mhariri Mtendaji wa UPL. Kulia ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rhoda Kangero
 Ndugu Polepole akizungumza jambo na Kangero
 Baadhi ya waliowahi kuwa Wahariri Watendaji wa UPL wakiwa katika Ofisini ya |Mhariri Mtendaji wa UPL. Kutoka kushoto ni Jacquelin Liana, Joseph Kulangwa na Saidi Nguba. Kushoto ni Kamimu Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akizungumza na Viongozin wa UPL na wageni waalikwa katika Ofisi ya Mhariri Mtendaji wa UPL
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole akifungua mfuko wenye gazerti la Uhuru, kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo leo. Kulia ni kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rhoda Kangero na Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa zamani saidi Nguba
Polepole akionyesha furaha yake baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo la Uhuru
Mhariri Mtendaji wa zamani Joseph Kulangwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali wakifurahia nakala ya Uhuru lenye muonekano mpya baada ya kuzinduliwa muonekano huo
 Polepole akilifurahia nakala ya Uhuru akiwa akiwa na viongozi kadhaa wa UPL na waalikwa baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo leo
  Polepole akilifurahia nakala ya Uhuru akiwa akiwa na viongozi kadhaa wa UPL na waalikwa baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo leo
 Polepole akilifurahia nakala ya Uhuru akiwa akiwa na viongozi kadhaa wa UPL na waalikwa baada ya kuzindua muonekano mpya wa gazeti hilo leo
 Baadhi ya wafanyakazi wa UPL wakiwa na nakala za gazeti la Uhuru lenye muonekano mpya. Wapili kushoto ni Mhariri wa habari wa Uhuru FM Pius Ntiga
 Polepole na wafanyakazi wa UPL na waalikwa wakiendelea kulitazama gazeti hilo la Uhuru lenye muonekano mpya.
 Polepole akimshukuru Kulangwa kwa kuhudhuria hafla hiyo. Kushoto ni Said Nguba
 Polepole na msafara mzima wakienda chumba cha habari kujadili muonekano mpya wa gazeti hilo
 Polepole na msafara mzima wakienda chumba cha habari kujadili muonekano mpya wa gazeti hilo
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Polepole akizungumza jambo na Kaimu Mhariri Mtendaji Ndugu Kangero wakati msafara ukienda katika chumba cha habari
 Kangero akiongoza msafara kuingia katika chumba cha habari cha UPL
Polepole,  Watumishi wa UPL na wageni waalikwa wakiwa wamesimama kufanya dua kabla ya kuanza kulijadili Uhuru 
 Kila mmoja akiwa makini kulisoma Uhuru wakati wa mjadala
  Kila mmoja akiwa makini kulisoma Uhuru wakati wa mjadala
  Kila mmoja akiwa makini kulisoma Uhuru wakati wa mjadala
 Mkutubi wa UPL Mussa Salmin akilipitia kwa makini gazeti la Uhuru
 Kaimu Naibu Mhariri Mtendaji wa UPL Rashid Zahor akilipia kwa makini gazeti la Uhuru. Kulia ni Kaimu Mhariri Mtendaji Roda Kangero
 Wahariri watendaji wa zamani wa UPL Said Nguba na Joseph Kulangwa wakipita gazeti hilo. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM angel Akilimali
 Kaimu Mhariri Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru FM Angel Akilimali akilisoma kiwa makini gazeti la Uhuru  Mhariri wa habari wa Uhuru FM Pius Ntiga akisoma kwa makini gazeti la Uhuru lenye muonekano mpya. Kushoto ni Jacqueline Liana
 “Unaona hiyo?” Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL Rhoda Kangero akimuonyesha moja ya habari picha Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole alipokuwa akipitia nakala ya gazeti loa kwanza la Uhuru lililoanza kuchapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1961
 Polepole akilitazama kwa makini nakala hiyo ya kwanza ya gazeti hilo la Uhuru
 “Ohhh… very nice” akasema Polepole wakati akitazama nakala ya gazeti hilo la uhuru la mwaka 1961
 “Safi sana,,” akasema tena Polepole
 Polepole akionyesha nakala ya gazeti la kwanza la Uhuru la mwaka 1961. Kulia ni Kangero
 Mtangazaji wa Uhuru FM Ndugu Amina  akisoma gazeti la Uhuru kwa makini
 Mjadala wa gazeti ukiendelea
 Mhariri Mwandamizi wa UPL Jane Mihanji (kushoto) akifuatilia kwa makini mjadala wa gazeti sehemu ya mengineyo. Kulia ni kaimu Mhariri wa Makala Selina Wilson
 Ndani ya chumba cha habari cha UPL wakati mjadala ukiendelea
 Mhariri Mtendaji wa zamani Said Nguba akisoma kwa makini nakala ya Uhuru lenye muonekano mpya
 Mfanyakazi wa Idara ya |Matangazo UPL akiuliza jambo kuhusu uboreshwaji wa upande huo kwenye gazeti la UPL
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Polepole akizungumza kukamilisha mengineyo ya mjadala wa gazeti hilo la uhuru
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Polepole akizungumza kukamilisha mengineyo ya mjadala wa gazeti hilo la uhuru
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Polepole akizungumza kukamilisha mengineyo ya mjadala wa gazeti hilo la uhuru
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Ndugu Polepole akizungumza kukamilisha mengineyo ya mjadala wa gazeti hilo la uhuru
 Ndugu Poloepole akiagana na Ndugu Masota wakati akiondoka. Kushoto ni Ndugu Rhoda
 Wafanyakazi wa UPL wakiwa katika picha ya kumbukumbu baada ya uzinduzi huo wa muonekano mpya wa gazeti la Uhuru.