JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: sheria

Tusimamie utawala wa sheria

Katika maendeleo ya nchi na jamii msingi wa utawala wa sheria ndio hasa huleta ulinganifu kwa aliyenacho na asiyenacho. Hivyo ni msingi huo pekee haki huonekana imetengendeka. Kumekuwepo na kilio hasa kutoka kwa wanyonge pindi wanapoona hawajatendewa haki na mamlaka…

Mapitio ya sheria za kazi nchini Tanzania

Na Wakili Stephen Malosha Asiyefanya kazi na asile. Hayo ni maneno maarufu sana katika utawala huu wa awamu ya tano. Maneno haya yamekuwa yakitamkwa mara kwa mara na Rais John Magufuli katika kuhimiza Watanzania wafanye kazi. Hii inaonesha kwa namna…

JAJI MKUU AWATAKA WATUMISHI KUONGEZA IMANI YA MAHAKAMA

Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Juma akijiandaa kuanza Matembezi ya uzinduzi wa wiki ya Sheria leo jijini Dar es salaam. Kulia kwake ni mkewe akifuatiwa na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na kushoto ni Waziri…

Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi Yaja

Serikali ipo katika mchakato wa kuwashirikisha wadau ili kufikia azma ya kupeleka bungeni muswada wa sheria ya kulinda taarifa binafsi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Maria Sesabo, amesema. Sesabo amesema hayo mjini Dodoma wiki iliyopita, wakati…