JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: SPORTPESA

Simba, Yanga,Gor Mahia, AFC Leopard Kukutana kwenye Mashindano ya SportPesa Super Cup

Baada ya kushindwa kutamba mbele ya Azam FC kwa kupata kipigo chama bao 3-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeanza kujipanga na mashindano ya SportPesa Super Cup. Michuano hiyo inatarajia kuanza Juni 3 mpaka 10 jijini Nairobi nchini…

PIGO KWA WAKENYA, SPORTPESA YASITISHA UDHAMINI

Kampuni ya mchezo wa kamari nchini Kenya, SportPesa, imesitisha udhamini wake wa michezo kutokana na uamuzi wa serikali kuongeza ushuru hadi asilimia 35 kutoka kwa asilimia 7.5. Akizungumza na waandishi wa habari Jumanne, mkurugenzi mkuu na mwanzilishi wa SportPesa Ronald…