
Angalia Ufaransa Walivyobeba Kombe la Dunia – Video
TIMU ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kunyakua Ubingwa wa Dunia mwaka 2018 baada ya kuifunga Croatia kwa bao 4-2. Mabao ya Ufaransa yamewekwa kimiani na Mario Mandzukic aliyejifunga, Antoine Griezmann aliyefunga kwa njia ya penati pamoja, Paul Pobga pamoja na Kylian Mpabbe. Wakati huo mabao ya Croatia yamepachikwa kimiani na Ivan Perisic pamoja na…