Bilionea Monaban wa CCM apata pigo
Mfanyabiashara bilionea Dk. Philemon Mollel, anayemiliki kampuni ya Monaban Trading and Farming Co. Limited, amepokwa kinu kilichokuwa mali ya Shirika la Usagishaji la Taifa (NMC) jijini Arusha. Pamoja na kunyang’anywa kinu hicho, Dk. Mollel ambaye ni kada na mfadhili wa Chama Cha Mapindizi (CCM), ametakiwa alipe Sh bilioni 16 za malimbikizo ya ada ya pango…