Bundi atua wizarani
Baada ya gazeti hili la uchunguzi, JAMHURI, kuandika kuhusu ubovu wa matrekta wanayouziwa wakulima nchini wiki iliyopita, Bunge kupitia Kamati ya Viwanda na Biashara limeingilia kati kunusuru nchi kuingia katika madeni yasiyo na faida, hivyo kumwita Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa, ajieleze. Habari za uhakika kutoka bungeni zinaeleza kuwa Jumatano iliyopita uongozi wa…