Singasinga ‘anyooka’
Sethi na Rugemarila wanakabiliwa na mashitaka 12 ya uhujumu uchumi, ikiwamo kula njama, kujihusisha na mtandao wa uhalifu, kughushi nyaraka, kutoa nyaraka za kughushi, kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu, kutakatisha fedha na kuisababishia serikali hasara ya dola za Marekani 22, 198,544.60 na Sh 309,461,300,158.27. Watu wa karibu wa Harbinder Singh wameliambia Gazeti la JAMHURI kwamba ‘huruma’ ya…