JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga

*Asema Rais Samia anatosha, aomba wananchi kumchagua kwa kishindo*Asema Salma Kikwete ana uwezo na dhamira ya kuwatumikia wananchi wake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amezindua kampeni za Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete,…

Zaidi ya wanafunzi 100 kundi la pili wakabidhiwa VISA na vitabu vya muongozo na GEL

Na Mwandishi Wetu KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki ijayo kusoma kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia Wakala wa Vyuo Vikuu Nje ya nchi Global Education Link (GEL). Wanafunzi hao waliagwa…

Waziri Mkuu akutana na balozi wa Tanzania nchini Japan

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka balozi wa Tanzania Nchini Japan Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni pamoja na kudumisha diplomasia ya uchumi kwa kuhamasisha uwekezaji na upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani. “Ni jukumu lako kwenda kutangaza fursa zilizopo hapa nchini,…

Waziri Mkuu wa Japan atangaza kujiuzulu

Waziri Mkuu wa Japan Shigeru Ishiba ametangaza kujiuzulu Jumapili baada ya chini ya mwaka mmoja madarakani. Tangazo lake limekuja baada ya chama chake cha Liberal Democratic Party (LDP), kupoteza wingi wa viti bungeni. Ishiba, mwenye miaka 68, alisema ataendelea kushika…

Mgomo wasababisha mamilioni ya abiria kukwama London

Mamilioi ya watu wanajiandaa kwa wiki ya changamoto ya usafiri jijini London Uingereza kutokana na mgomo wa treni za chini kwa chini. Mamilioni ya watu wanajiandaa kwa wiki ya hekaheka na matatizo ya usafiri jijini London Uingereza huku wafanyakazi wa…