JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kamishna Kuji ahimiza watumishi kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika utendaji

Na Philipo Hassan, JamhuriMedia, Arusha Kamishna wa Uhifadhi Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji, amewataka Maafisa na Askari Uhifadhi wa Uhifadhi waliopo TANAPA Makao Makuu na Kanda ya Kaskazini kujiendeleza kielimu ili kuboresha ufanisi katika…

Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta umeleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wananchi Tanga

📌Wananchi wampongeza Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mafanikio ya ujenzi wa Mradi, wafikia asilimia 64.2 📌 Timu ya wataalamu wa SULUHU wakutana na Uongozi wa Mkoa wa Tanga, kueleza mafanikio ya mradi…

Tanzania, IFRC wajadili kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kibinadamu Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Denis Londo (Mb) amelishukuru Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) kwa mchango…

Rais Samia aendelea kuboresha miundombinu ya Jeshi la Polisi nchini

Na Jeshi la Polisi, Dodoma Kamishna wa Fedha na Lojistiki wa Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, akimpitisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akiwa ameambatana na Makamishna wengine kwenye maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi…

Waziri wa Cuba ajiuzulu baada ya kusema nchi haina ombaomba

Waziri wa Kazi wa Cuba Marta Elena Feitó Cabrera amelazimika kujiuzulu baada ya kutoa maoni ya kukanusha kuwepo kwa ombaomba katika kisiwa hicho kinachoongozwa na Wakomunisti. Waziri alikuwa amesema hakuna kitu kama “ombaomba” nchini Cuba na watu wanaopitia takataka walikuwa,…