Author: Jamhuri
Rais Samia azindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, asisitiza utekelezaji wa vitendo na upimaji wa matokeo
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 17, 2025, ameizindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, akibainisha kuwa inalenga kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati wa juu, kwa…
Rostam Azizi : Utekelezaji wa Dira 2050 utategemea ubunifu, uongozi bora na mazingira rafiki kwa sekta binafsi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Katika uzinduzi rasmi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, uliohudhuriwa na viongozi wa juu wa Serikali, wadau wa maendeleo na wananchi, mfanyabiashara maarufu na mwakilishi wa sekta binafsi, Rostam Azizi, amewasilisha salamu zenye msukumo…
Tume ya Uchaguzi yawaondoa hofu wapinzani
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (I-NEC) imevihakikishia vyama vya siasa vyote vitakavyoshiriki uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwezi Oktoba mwaka huu kuwa vitatendewa haki sawa. Hayo yamebainishwa jana na Kamishna wa Tume…





