Author: Jamhuri
Trump: Israel na Iran zaafikiana kusitisha mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Israel na Iran wamekubaliana kusitisha mapigano, hatua ambayo itaanza kutekelezwa ndani ya saa 24 zijazo na ambayo italimaliza mzozo huu uliodumu kwa siku 12. Rais wa Marekani Donald Trump amesema mapema siku ya Jumanne…
Mradi wa Umeme wa Nyerere unapunguza Gesijoto
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere umetajwa kuwa na uwezo wa kupunguza tani milioni 3 za gesijoto kwa mwaka, kati ya tani 138 hadi 155 zinazoweza kupunguzwa kupitia shughuli mbalimbali nchini kwa mwaka. Waziri…
Busisi: Rais Samia amethibitisha tunaweza
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Mwanza Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan amezindua daraja la kihistoria katika nchi yetu. Daraja hili ni la Kigongo – Busisi, Mwanza, ambalo limepewa jina na John Pombe Magufuli. Daraja hili limejengwa kwa zaidi ya Sh…





