Author: Jamhuri
Nyongeza ya mshahara yapokelewa kwa shangwe na wafanyakazi Njombe
Na Happiness Shayo, JamhiriMedia, Ludewa Wafanyakazi wilayani Ludewa, mkoani Njombe, wamepokea kwa shangwe na furaha nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika maadhimisho Siku…
Jiungeni na vifurushi vya NHIF- Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa amewataka wananchi kujiunga na vifurushi vya Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya wakati taratibu za utekelezaji wa Bima ya Afya kwa Wote zikikamilika. Ametoa wito…




