JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kishindo cha Samia mkoani Tabora

*Atangaza neema ujenzi wa taa 2,500, madaraja*Akumbushia historia ya Mwalimu Nyerere Na Kulwa Karedia,Jamhuri Media, Tabora Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),amehitimisha kampeni zake mkoani Tabora kwa kishindo. Akizungumza na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Tabora katika mkutano…

TAKUKURU Pwani yarejesha milioni 1.3 kwa wananchi Nyakahamba

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriPwani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani imerejesha kiasi cha shilingi 1,376,250 kwa wananchi wa Kitongoji cha Nyakahamba, kata ya Kerege, wilayani Bagamoyo, waliotozwa kinyume cha utaratibu na Mwenyekiti wa Kitongoji kwa…

Bashiru awataka Tabora kulinda historia ya CCM

Na Mwandishi Wetu JamhuriMedia, Tabora Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Bashiru Ally amewataka wananchi wa Mkoa wa Tabora kutunza vema historia yaChama hicho. Amesema mkoa huo una historia ya kipekeee kwani mwaka 1958 chama hicho kulifanya…

Twendeni tukampe kura za heshima Samia-Nkumba

Na Mwandishi, JamhuriMedia, Tabora Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, Said Nkumba, amesema mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan amefanya kazi kubwa kwa kupeleka sh trilioni 6.42 katika kuchagiza maendeleo mkoani humo. Amesema fedha hizo imegharamia miradi mbalimbali…

PMM wafurahia fursa ya Oman, utachochea maendeleo

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Usafirishaji ya PMM, Dk Judith Mhina Spendi, amesema kuwa kuwasili kwa wageni kutoka Oman kwenda kwenye ofisi yao ya ni fursa ya kukuza uchumi wao na taifa kwa…

Dk Biteko ahaidi neema zaidi Bukombe miaka mitano ijayo

📌 Ataja miradi lukuki iliyotekelezwa Bukombe 📌 Oktoba 29 Katome kumpa kura zote Rais Samia Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema endapo wananchi wa Jimbo hilo watamchagua tena kuwa mbunge…