Author: Jamhuri
Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waiunga mkono Ukraine
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamefanya mkutano kwa njia ya video na kutangaza kuiunga mkono Ukraine kabla ya mkutano kati ya rais wa Marekani Donald Trump na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin huko Alaska. Kauli mbiu…
Wizara ya Ardhi yaendesha klinik maalkum kuongeza kasi ya umilikishaji
Na Mwandishi Wetu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha Klinik Maalum ya Ardhi kwa ajili ya kuongeza kasi ya umilikishaji ardhi katika maeneo ambayo mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki (LTIP) umetekelezwa. Hatua hiyo ya Wizara ya…
Serikali yazitaka NGOs kutoa huduma kwa uwazi kwa wananchi
Na Mwandishi Wetu Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) yametakiwa kuwa wazi na kuwajibika katika utekelezaji wa majukumu yao, hasa katika kutoa huduma kwa wananchi kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Wito huo ulitolewa juzi na Naibu Waziri…
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru ampa kongole DED Mtipa kwa kutenga asilimia 10 kikamilifu
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Maswa Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ismail Ali Ussi amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa kwa kutimiza maelekezo ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kutenga fedha…
SMZ kuongeza nguvu katika malezi ya watoto
Na Salma Lusangi, WMJJWW Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kuwa imeamua kuongeza nguvu katika Programu ya Makuzi, Malezi na Maendeleo ya Awali ya mtoto (ECD) ili kuwa na jamii yenye Afya bora. Akizungumza katika mafunzo ya siku nne kwa…





