JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali Mbulu Mji kupata mikopo ya milioni 168

Na Mwandishi wetu, Mbulu Vikundi 49 vya wanawake wajasiriamali waliopo kwenye Halmashauri ya Mji wa Mbulu Mkoani Manyara, wanatarajia kupatiwa mikopo ya Sh168 milioni. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbulu, Rehema Bwasi ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye kikao cha…

Ujio wa Rais wa Msumbiji watoa ishara ya Umoja wa Afrika

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa amesema kuwa ziara ya Rais wa Msumbiji Daniel Chapo ni ishara tosha kuwa Afrika inafuatilia kwa karibu maendeleo yanayopatikana katika sekta ya miundombinu…

Viongozi wa Dini waaswa kuimarisha mafundisho kwa wanandoa kunusuru kuvunjika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii Dkt.Dorothy Gwajima amewaasa viongozi wa dini zote nchini kuimarisha mafundisho kwa wanandoa kabla na baada ya kuingia kwenye ndoa ili kuwanusuru na mifarakano inayopelekea ongezeko la kuvunjika kwa ndoa na…

Kardinali Robert Prevost achaguliwa kuwa papa wa kwanza Mmarekani

Kardinali Robert Prevost, mmisionari Mmarekani ambaye alitumia maisha yake nchini Peru na ambaye anaongoza ofisi yenye ushawishi mkubwa ya maaskofu katika Vatican, amechaguliwa kuwa Papa wa kwanza Mmarekani katika historia ya miaka 2,000 ya Kanisa Katoliki. Prevost, mwenye umri wa…

Papa mpya apatikana

Moshi mweupe umeonekana ukifuka kutoka kwenye bomba la moshi katika Kanisa la Sistine Chapel, ni wazi mchakato wa upigaji kura umekamilika na makadinali wamemchagua mrithi wa Papa Francis. Bado hatujui ni nani amechaguliwa, lakini itaonekana wazi watakapotokea kwenye roshani ya…

Msumbiji kushirikiana na JKCI katika tiba ya moyo

Msumbiji itashirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete( JKCI) kwa kuwatuma wataalamu wake kujifunza namna ya kutoa huduma za matibabu ya moyo  kwa wagonjwa ili nchi hiyo iwe uwezo wa kutoa huduma hizo kwa wananchi. Ushirikiano mwingine ni wa kuwapeleka…