Author: Jamhuri
Mwenyekiti CCM Songea Mjini awataka waandishi wa habari kufanyakazi kwa kuzingatia maadili
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea mjini Mwinyi Msolomi amewaasa waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao kwa kuandika habari zenye weredi na usahihi katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu….
Dk Mpango akemea vikali tukio la kushambuliwa kwa katibu Mkuu TEC Padri Kitima
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Padre Dkt. Charles Kitima pamoja na matukio mengine…
REB yaridhishwa matumizi ya nishati safi Gereza la Butimba
📌Wapongeza mifumo ya nishati safi ya kupikia 📌REA yapongezwa kwa kuhamashisha matumizi ya nishati safi Wajumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) wamefanya ziara ya kutembelea Gereza Kuu la Butimba lililopo jijini Mwanza kwa lengo la kukagua utekelezaji wa mradi…



