Author: Jamhuri
Mfupa mgumu ‘No Reforms, No Election’
*Chadema waanza kuzunguka mikoani kufanya mikutano ya kuinadi ‘No Reforms, No Election’ *Butiku asema serikali haiwezi kuacha kufanya Uchaguzi Mkuu kwa sababu ya Chadema *Ananilea asema muda unatosha wa kufanya mabadiliko madogo ya Katiba Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es…
Wauguzi imarisheni usimamizi utoaji huduma bora za afya nchini – Dk Dugange
OR-TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange amewaelekeza Wauguzi Viongozi wa ngazi zote za afya nchini kuhakikisha wanaimarisha usimamizi wa utoaji wa huduma bora ili wananchi wote wapate huduma bora…
Usafiri wa umeme waanza kupaa katika sekta ya usafiri wa mtandaoni Tanzania
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pikipiki na bajaji zimeendelea kuwa uti wa mgongo wa mifumo ya usafiri katika mataifa mengi ya Afrika Mashariki, zikihudumu kama teksi, vyombo vya usafirishaji wa mizigo, na usafiri wa watu binafsi. Sasa, mabadiliko…
Dk Mpango mgeni rasmi uzinduzi wa Mwenge wa Uhuru kitaifa Aprili 2
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa utakaofanyika Aprili 2, 2025 viwanja vya Shirika la Elimu Kibaha,…





