Mkutano Mkuu wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani kuanza Februari 12, nchi 140 kuhudhuria nchini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Francis Mbindi ameeleza kuwa Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa 79 wa Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM),litakalo husisha nchi wanachama 140 kutoka mabara yote duniani. Aidha katika mkutano huo ujio…

Read More

Rais Samia awapa maua yao Ramadhan Brothers

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wachezaji Sarakasi wa Kimataifa, Fadhili Ramadhani na Ibrahim Jobu maarufu kama Ramadhani Brothers baada ya kuibuka Mabingwa wa Dunia katika Mashindano ya America’s Got Talent Fantasy League. “Pongezi kwa vijana wetu Fadhili na Ibrahim (The Ramadhani…

Read More

CDEA waendesha mradi wa mafunzo ya muziki kwa vijana Dar

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Dar SHIRIKA la Utamaduni la Maendeleo Afrika Mashariki (CDEA) linaendesha mradi wa mafunzo maalum kwa Vijana wanamuziki wanaochipukia wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa ufadhiri Braid Arts and Culture Fund, ambao watawawezesha Vijana hao kujifunza aina mbalimbali za uandishi wa muziki wa jukwaani, na mikogo ya kufanya maonesho ya jukwaani…

Read More

Tuzo za ZIFF 2023 kutolewa leo

Na Andrew Chale, JamburiMedia, Zanzibar WAZIRI wa Nchi Ofisi wa Makamu wa pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi Hamza Hassan Juma anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika usiku wa tuzo za Tamasha la Filamu la Kimataifa la Nchi za Jahazi [ZIFF] kwa mwaka 2023. Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa Tamasha hilo la…

Read More

Mandonga atambulisha ngumi yake mpya ya ‘Kingugi’

Na Eleuteri Mangi Bondia machachari Karim Said maarufu Mandonga Mtu kazi ametembelea banda la Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambapo ametangaza ngumi mpya iitwayo ‘Kingugi’ anayotarajia kuitumia kwenye mchezo wa marudiano na Bondia Daniel Wanyonyi kutoka Kenya. Mandonga ametangaza ngumi hiyo Juni 29, 2023 kwenye maonesho ya 47 ya Kimataifa Sabasaba ambayo yanaendelea jijini…

Read More

Prof.Lumumba awataka wasanii vijana kutumia Jukwaa la ZIFF katika ubunifu wa filamu

Na Andrew Chale, JamhuriMedia, Zanzibar. MWANAMAJINUNI wa Afrika, Profesa Patric Loch Otieno Lumumba ambaye pia akifahamika kama Prof. PLO Lumumba ametoa rai kwa sanii Vijana wa Afrika hususani Afrika Mashariki kutumia jukwaa la tamasha la Nchi za Jahazi (ZIFF) katika kuandaa filamu za ubunifu na zenye tija. Prof. PLO Lumumba ameyasema hayo katika ujumbe wake…

Read More