Prof. Kabudi: Sh trilioni
360 haikuwa kodi halali

*Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia*Afafanua suala hilo limekwisha,atamtafuta Mwigulu amweleze Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mpatanishi Mkuu wa Serikali (Chief Government Negotiator), Profesa Palamagamba Kabudi, amesema Dola bilioni 190 za Marekani sawa na Sh trilioni 360 walizotakiwa kulipa Kampuni ya Acacia Julai, 2017 kama kodi, malimbikizo na faini ya ukwepaji kodi, hakikuwa kiwango…

Read More

Tuheshimu sekta binafsi, fedha zao

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita miongoni mwa mambo aliyofanya Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kushajihisha serikali kuipa nafasi sekta binafsi. Amesema anatamani kuona sekta binafsi inakua kama ilivyokuwa enzi za Rais Bejamin Mkapa. Sitanii, saa chache baada ya Rais Samia kutoa msimamo huo, mtu mmoja ambaye sitamtaja, ila kwa nia ya kuelimisha nitaweka…

Read More