JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwang’onda afurahishwa na mazingira rafiki ya uwekezaji Kibaha, azindua kiwanda Doweicare

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2026, Wazo Mwang’onda, ameweka jiwe la msingi katika kiwanda cha Doweicare Technology Ltd kilichopo Kata ya Misugusugu, Manispaa ya Kibaha, huku akiipongeza Serikali kwa kuweka mazingira…

Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imesaini mkataba wa kuwa mwenyeji wa mashindano ya 74 ya Miss World 2027, tukio Hilo lililofanyika kwenye hoteli ya Hyyat Regency jijini Dar es Salaam Aprili 20, 2026 limeshuhudiwa na Waziri…

Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Hassan Abbasi amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Wizara ya Utalii, Wanyamapori na Malikale ya Uganda Bi. Doreen S. Katusiime ambaye yupo nchini Tanzania na timu yake…

Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe

Na OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amesema Mradi wa Uendelezaji wa Bonde la Mto Msimbazi utaleta mabadiliko ya kweli kwa…

Ndejembi aipongeza REA

NDEJEMBI AIPONGEZA REA 📌Atoa wito kwa Wabunge kutembelea Banda la Maonesho 📌Mkurugenzi Mkuu REA aahidi kutekeleza miradi kwa wakati 📍Bungeni – Jijini Dodoma Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kuendelea kutekeleza azma ya…