JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Prof. Shemdoe aipongeza Manispaa ya Temeke kwa mpango mkakati wa miaka

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Temeke kwa kuandaa Mpango Mkakati wa Maendeleo wa miaka kumi ijayo, akisema ni hatua muhimu…

Prof. Shemdoe kuzifanyia kazi changamoto za wafanyabiashara soko la Mabibo

Na OWM-TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe .Prof. Riziki Shemdoe amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Mabibo kwa lengo la kutatua mgogoro uliopo katika soko hilo. Akizungumza…

Serikali kuwezesha wananchi wa kipato cha chini kupata makazi bora

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ali Munde (Mb), amesema kuwa Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za fedha likiwemo Shirika la Mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) ili kuiwezesha sekta ya fedha kupata mikopo yenye gharama…

Mchengerwa : Ushirikiano imara wa mfuko wa pamoja wa afya ni nguzo ya mageuzi ya sekta ya afya nchini

Na John Mapepele , Wizara ya Afya Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa, amesema kuwa ushirikiano madhubuti kati ya Serikali na Washirika wa Mfuko wa Pamoja wa Afya (Health Basket Fund) umeendelea kuwa chachu ya maboresho makubwa katika utoaji wa huduma…

Naibu Waziri Ole Millya awaongoza maelfu kumzika Mshili Ngumee

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mirerani NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Ole Millya amewaongoza maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Manyara na Arusha kwenye maziko ya kiongozi wa kimila Mshili Justin Abraham Ngumee aliyefariki…