JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwigulu aanza kazi rasmi , akomesha vikwazo vya huduma kwa wajawazito

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya rufani ya Mkoa wa Dodoma na kupiga marufuku tabia ya kuwasubirisha wajawazito mapokezi wakiwa na uchungu wa kujifungua. Ziara…

Miradi ya madini imeleta maendeleo Mara

🔸Zaidi ya Shilingi Bilioni 33.81 zatekeleza miradi ya maendeleo ya jamii MKOA wa Mara umeendelea kunufaika na uwekezaji wa Sekta ya Madini baada ya kutekeleza zaidi ya miradi 398 ya maendeleo yenye thamani ya Shilingi Bilioni 33.81 katika wilaya zote…

Serikali yalenga kuongeza mapato yasiyo ya kodi kutoka kwa Mashirika ya Umma

Na Mwandishi wa OMH, Dodoma Rais wa Tanzania Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itafanya mageuzi ya mashirika ya umma ili kuboresha ufanisi, uwazi na tija. Akihutubia Bunge la Tanzania Ijumaa, Novemba 14,2025, Mhe. Rais alisema serikali inataka kuongeza…

Rais Samia : Tutaendelea kukuza sekta ya utalii tukilenga watalii milioni 8 ifikapo 2030

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukuza Sekta ya Utalii ikilenga kufikia watalii wa ndani na wa nje milioni nane (8) ifikapo mwaka 2030. Ameyasema hayo…