JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TRA :Makampuni 300 kuunganishwa na mfumo wa IDRAS

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema zaidi ya makampuni 300 yataunganishwa na mfumo wa mfumo wa kisasa wa usimamizi wa kodi za ndani ujulikanao kama “Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS)” na kutatua kero mbalimbali…

Tanzania, Marekani kushirikiana kukuza teknolojia na utafiti wa madini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Tanzania na Marekani zimeeleza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu katika sekta ya teknolojia na madini, hususan katika utafiti wa Madini ya Kinywe, wakibainisha kuwa ushirikiano huo utanufaisha pande zote mbili kiuchumi na kiteknolojia….

FCC, ZFCC zaendelea kutekeleza MOU kwa vitendo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, amefanya ziara ya kikazi katika Tume ya Ushindani Halali wa Biashara Zanzibar (ZFCC) ikiwa ni hatua ya kuimarisha mashirikiano kati ya taasisi hizo mbili…

AQRB yazikabidhi shule zawadi zao za insha 2024/25

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi ( AGRB) imekabidhi zawadi za zaidi ya Sh.milioni 6.8 kwa washindi wa shindano la Insha kwa mwaka 2024/25 huku ikiwataka wanafunzi kusoma zaidi masomo ya sayansi…

Katambi akutana na uongozi wa Kampuni ya Condor kutoka Brazil

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi akizungumza na Wawakilishi wa Kampuni ya Condor, kutoka nchini Brazil, ambapo walijadiliana masuala mbalimbali yanayohusiana na kudhibiti uhalifu, ambapo nchi mbili hizo, Tanzania na Brazil walibadilishana uzoefu katika masuala ya udhibiti…

Halmashauri Wilaya ya Shinyanga yakamilisha ujenzi jengo jipya

Na Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Shinyanga HALMASHAURI ya Wilaya ya Shinyanga Mkoani Shinyanga imesema kukamilika kwa jengo lake lililogharimu shilingi bilioni tatu kumeboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wa halmashari hiyo kwa kiwango kikubwa. Halmashauri hiyo imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan…