JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara yaahidi kutekeleza Mradi kwa Kukuza Usawa wa Kijinsi Tanzania- PAMOJA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imeahidi kutekeleza ushauri uliyotolewa na Benki ya Dunia (World Bank) katika utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania- PAMOJA unaotekelezwa na Wizara hiyo kwa…

Masauni ataka kila Mtanzania awe mlinzi wa mazingira

*Kongamano la mazingira kushirikisha watu zaidi ya 1,000 Na Mwandishi Wetu RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha siku ya mazingira duniani yatakayofanyika Juni 5 katika ukumbi wa Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Hayo yalisemwa jana jijini…

Mfumo ufuatiliaji uchafuzi mazingira mbioni kukamilika

Na Mwandishi Wetu SERIKALI inakamilisha ufungaji wa mfumo wa kisasa wa ufuatiliaji wa uchafuzi wa mazingira utakaowezesha kufuatilia viwango vya uchafuzi kwa wakati na kuchukua hatua za haraka dhidi ya wanaokiuka Sheria. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu…

Kamati yaipongeza Serikali hatua za kuiinua MSD

Kamati imeipongeza Serikali kwa hatua mbalimbali zinazoendelea kuchukuliwa kuiimarisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD), ikiwemo ujenzi wa maghala makubwa pamoja na juhudi za kupunguza madeni yanayoikabili taasisi hiyo muhimu katika sekta ya afya nchini. Kwa mujibu wa taarifa iliyowasilishwa bungeni,…

Tanzania kuendelea kutumia akili unde katika kukabiliana na maafa

Na Mwandishi Wetu, Masvingo – Zimbabwe TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa tahadhari za mapema na kupunguza madhara yanayosababishwa na majanga mbalimbali. Hayo…