Category: MCHANGANYIKO
Tanzania yakamilisha taratibu za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelite – Kairuki
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Tanzania imekamilisha taratibu zote za ununuzi wa vifaa vya uundaji wa satelaiti ndogo aina ya CUBESAT kupitia mradi wa Umoja wa Mataifa wa Masuala ya Anga za Juu…
Rais Samia ametekeleza alichoahidi wakati wa kampeni kuhusu vijana katika TEHAMA – Kairuki
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angellah Kairuki, amesema kuwa Serikali imeanza kutekeleza kikamilifu ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu kuwawezesha vijana katika sekta ya teknolojia ya habari na…
Waziri Kairuki : Watumiaji wa intaneti nchini waongezeka na kufikia milioni 58.9
Sekta ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeendelea kukua kwa kasi nchini, huku takwimu zikionesha ongezeko kubwa la watumiaji wa huduma mbalimbali za kidijitali Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, ameeleza hayo bungeni jijini Dodoma leo Alhamisi…
Tanzania yataka mbinu nafasi ya maendeleo nchi zinazoendelea
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa wito wa kuwa na mbinu za kimataifa zilizo na uwiano, zinazozingatia usawa na kulinda nafasi ya maendeleo ya nchi zinazoendelea. Imesema iko tayari kushirikiana na wadau mbalimbali katika kujenga njia zitakazoleta manufaa kwa watu…
Serikali yasisitiza ushiriki wa vijana katika ukuaji wa uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imesisitiza kuwa, Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 inatoa kipaumbele cha pekee kwa ushiriki wa vijana katika maendeleo, kwa lengo la kuinua vipaji, uwezo, na ari yao katika kufanikisha ukuaji wa uchumi jumuishi. Kauli…
Serikali kuendelea kuiwezesha OSHA ili kuongeza ufanisi wa utendajikazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Serikali imeahidi kuendelea kuiwezesha Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi(Osha), vitendea kazi ili kuleta ufanisi katika shughuli zake. Ahadi imetolewa na Waziri wa Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, wakati akifunga maadhimisho ya…





