JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Adaiwa kumchoma kisu mkewe baada ya kubaini akitumia dawa za ARV kwa kificho

Na Crecensia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake (majina yamehifadhiwa) kwa kumchoma na kisu tumboni upande wa kushoto hadi utumbo kutoka nje baada ya kugundua kuwa mkewe alikuwa akitumia…

Afariki kwa kung’atwa na mamba wakati akioga usiku wilayani Nyasa

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea MWANAMKE mmoja Catherine Kinyongile (56) mkazi wa kijiji cha Ndonga kilichopo katika Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma amefariki dunia baada ya kukamatwa na mamba wakati akioga katika eneo la fukwe la forodha ya Hyetu…

Pwani kugawa miche milioni 1.5 Rufiji kumbukizi ya kuzaliwa Rais Samia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKOA wa Pwani unaunga mkono dhamira ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuendeleza agenda ya uhifadhi wa mazingira kwa kugawa miche ya mikorosho milioni 1.5 kwa wakulima wa…

Waziri Mkuu afungua mkutano wa viongozi wa TAKUKURU

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeimarisha Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa kuongeza rasilimali watu, bajeti, miundombinu…

Serikali yawezesha kuanzishwa kwa kituo cha kisasa cha teknolojia ya madini muhimu nchini

● Ni matokeo ya MoU kati ya GST na Taasisi ya KIGAM kutoka Korea ya Kusini, ● Utekelezaji wa mradi huo kugharimu Bilioni 40 za Kitanzania ● Wataalam kutoka GST kujengewa uwezo ● Wachimbaji wadogo kupatiwa Mafunzo malum Wizara ya…