Category: MCHANGANYIKO
Sheikh Mussa : Vijana msikubali kutumika
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum, amewaasa vijana kuwa makini na wazalendo kwa nchi yao, huku akiwasisitiza wasikubali kutumika. Akizungumza na JAMHURI mwishoni mwa wiki…
NMB yatoa milioni 100 kudhamini mkutano Mkuu wa 40 wa ALAT
Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh milioni 100 kwa ajili ya kusaidia maandalizi na uendeshaji wa Mkutano Mkuu wa 40 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) utakaofanyika jijini Arusha. Udhamini huo unaongeza nguvu katika maandalizi ya mkutano…
Masauni: Mafanikio ya Ofisi ya Makamu wa Rais ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Yussuf Masauni amesema miongoni mwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ni kutatuliwa kwa hoja za Muungano chini ya Ofisi hiyo. Amesema hayo wakati akifafanua hoja mbalimbali…
Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
….. Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia mafuta na gesi asilia, Dkt. James Mataragio, amewaomba waheshimiwa wabunge na wadau mbalimbali kuendelea kutembelea maonesho ya Wiki ya Nishati 2026 yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, ili kupata elimu juu…
Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameipa siku 14 Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) kukamilisha taratibu zote za kisheria za manunuzi, ikiwemo kumpata mkandarasi, ili kuruhusu kuanza kwa ujenzi wa barabara ya Kisarawe hadi Maneromango. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika…





