Category: MCHANGANYIKO
RC Iringa asisitiza wananchi kuwalinda wakandarasi na vifaa vya ujenzi
📌Mradi wa bilioni 32.3 kusambaza umeme kwenye vitongoji 214 vya mkoa wa Iringa 📌Mkandarasi M/s Silo Power atakiwa kumaliza kazi kwa wakati 📌Wateja 7,500 wataunganishiwa huduma ya umeme 📌Asema umeme ni maendeleo, uchumi, huduma na biashara Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…
Tanzania yaimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na Vatican
* Kuongeza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Vatican katika masuala ya amani, mazungumzo na maendeleo ya kijamii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana ilithibitisha upya urafiki wake wa muda mrefu na Vatican (Holy See), baada ya Waziri wa Mambo ya Nje…
NMB yaongeza idadi ya magari ya kutoa huduma yafikia 15, wananchi kufikiwa kirahisi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya NMB imeongeza idadi ya magari yake ya kutoa huduma za kifedha hadi kufikia 15, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za benki katika maeneo yenye changamoto ya matawi ya kudumu, hususan…
Serikali yakaribisha kampuni za Korea kuwekeza sekta ya madini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika hatua ya Tanzania kuendelea kujiimarisha kama kitovu cha uwekezaji wa kimkakati barani Afrika, Serikali kupitia wizara ya madini imekaribisha uwekezaji wa Kampuni kutoka Korea Kusini kuja kuwekeza nchini na kueleza uwepo wa fursa katika…
Siku 100 za Rais Samia, TARURA Shinyanga yasaini mikataba kumi ya ujenzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Meneja wa TARURA Mkoa Shinyanga Mhandisi Avith Theodory amesema kuwa ndani siku 100 tangu Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aingie madarakani katika kipindi cha pili cha Serikali ya Awamu…





