JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia: Vijana tulizeni munkari, msidanganywe

Na Kulwa Karedia-Dar es Salaam Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewaasa vijana wa Tanzania kutokubali kudanganywa na kuwataka washushe munkari.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu katika majimbo…

Tanzania yapata nafasi za ajira 50,000 nje ya nchi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Thabit Kombo amesema serikali imepata mkataba wa ajira 50,000 kama mchango wa Tanzania kwa nchi za nchi za nje. Waziri Kombo ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano wa kampeni za…

Maaskofu, Masheikh nyandaza juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025, huku wakisisitiza umuhimu wa kudumisha amani kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo….

Maafisa Maendeleo ya Jamii Wanawake Songwe wakabidhiwa pikipiki kama vitendeakazi

Na Mwandishi Wetu WMJJWM- Songwe Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imekabidhi pikipiki nane kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Songwe ili kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za…