Category: MCHANGANYIKO
Wabunge washauri miradi ya kaboni iendelee kunufaisha wananchi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeshauri kuwa miradi ya biashara ya kaboni iendelee kuwanufaisha wananchi hususani mwananchi mmoja mmoja katika maeneo yanayotekeleza miradi hiyo. Kamati hiyo imebainisha kuwa ni vyema maeneo yanayotekeleza miradi ya Biashara ya…
Rais Dk Samia atembelea chanzo cha Maji Machomwe, aweka jiwe la msingi Skuli ya Amali Kizimkazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Amali Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi,…
Kapinga atoa wito wa ushirikiano katika miradi ya maendeleo Mtwara
Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya Waziri wa Viwanda…
Ngasongwa aanza ziara Mwanza, atoa wito kwa wafanyabiashara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Bi. Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa lengo la kuimarisha udhibiti wa bidhaa bandia na kukuza ushindani wa haki katika soko. Katika ziara hiyo,…
Wananchi Mtwara waishukuru Serikali kuboresha huduma za afya
Wananchi mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuendelea kujenga na kuboresha miundombinu ya huduma za afya, hatua iliyowarahisishia upatikanaji wa huduma hizo bila kulazimika kusafiri umbali mrefu. Hayo yamejiri Agosti 12, 2026, katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi ya…
Dk Biteko anogesha mashindano ya Ngalawa Tamasha la Kizimkazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Naibu Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mashindano ya ngalawa race ni miongoni mwa matukio makubwa ya kiburudani yanayoipamba Kizimkazi Festival 2026. Mashindano hayo yamefanyika…





