Category: MCHANGANYIKO
Bodi ORCI yakutana Mbeya kupitia utekelezaji wa shughuli za Taasisi
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI) Prof. Ephata Kaaya ameongoza kikao cha Bodi kilichofanyika hivi karibuni jijini Mbeya kwa lengo la kujadili na kutoa mwelekeo wa kimkakati kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Taasisi…
Serikali kuendelea kuimarisha afua za UKIMWI nchini
Na Mwandishi Wetu, Mwanza Serikali imedhamiria kuendelea kuimarisha afua za masuala ya UKIMWI nchini kwa kuboresha mazingira ya utekelezaji wa shughuli hizo, huku ikihimiza ushirikiano na wadau mbalimbali katika kuendeleza mapambano dhidi ya UKIMWI. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…
Sekta binafsi kuchangia asilimia 70 ya dira 2050
Sekta binafsi nchini inatarajiwa kuchangia takribani asilimia 70 ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 iliyozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais…
Wazalishaji mkaa mbadala watakiwa kuzingatia ubora, viwango na afya ya mtumiaji
Na Mwandishi Wetu , JamhuriMedia, Dar es Salaam Wazalishaji wa nishati mbadala ya kupikia, hususan mkaa unaotokana na taka ngumu, wametakiwa kuendelea kutumia teknolojia na mbinu za kisayansi katika uzalishaji ili kuhakikisha bidhaa zao zinakidhi ubora na viwango vinavyokubalika, hatua…
Rais Tshisekedi awasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Antoine Tshisekedi Tshilombo, amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili, kuanzia tarehe 17 hadi 18 Agosti 2026, kufuatia mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….





