JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Balozi Cuba aongoza kumbukizi ya Castro mkoani Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amesema mkoa huo ni kitovu cha viwanda na ukanda wa miradi ya kimkakati, hivyo amewahimiza wawekezaji wa ndani na nje kuchangamkia fursa zilizopo. Amesema Pwani inaendelea kuwa eneo…

Dk Gwajima : Tuongeze kasi na ukaribu zaidi na wananchi

Na Witness Masalu WMJJWM-Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameelekeza watumishi wa Wizara hiyo kutekeleza na kuishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu, Tunasonga Mbele” kupitia utoaji wa huduma kwa kasi…

Waziri Ndejembi awataka PBPA kuhakikisha kunakuwepo na akiba ya kutosha ya mafuta nchini

📌Ahimiza uboreshaji wa Miundombinu ya kupokelea mafuta 📌Ahimiza kutokuwepo na ucheleweshaji kwenye uingiaji wa mafuta nchini. 📌Alekeza ushirikishwaji wa Wadau katika kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombinu ya kuhifadhia mafuta WWaziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi amewataka Wakala wa Kuagiza Mafuta…

Waziri Mkuu atoa wito kwa Watanzania kuwa makini na wenye nia ya kuichafua na kuiharibu Tanzania

▪️Asisitiza kuwa Tanzania na Rasilimali zake zitalindwa kwa gharama yoyote ile. Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba anazungumza na Wahariri wa vyombo vya habari nchini kwenye kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, Novemba 25, 2025. Katika mkutano huo Mheshimiwa…

Waziri Nanauka ataka vijana wasikilizwe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka leo Novemba 25, 2025 amewasili mkoani Songwe kwa lengo la ziara ya kukutana na kuzungumza na vijana kuhusu masuala mbalimbali ya ustawi wa kundi hilo ikiwemo shughuli…