JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Mwinyi : Uchumi wa buluu ulete manufaa ya moja kwa moja kwa wananchi wa OACPS

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameishauri Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) kuhakikisha maazimio na matamko yanayopitishwa katika mikutano yake yanatafsiriwa kuwa programu zinazotekelezeka na kuleta manufaa ya…

Elimu ya Ebola yaendelea kutolewa mtaa kwa mtaa Kigoma

Na Atley Kuni, WAF-Kigoma  Wananchi zaidi 24,000 wa Manispaa ya Kigoma mjini wameendelea kupata elimu kuhusu ugonjwa wa Ebola kupitia kampeni maalumu ya uhamasishaji inayofanyika kwa kutumia gari la maalum la matangazo linalozunguka katika Manispaa hiyo na kutoa elimu ya…

Saratani ikigundulika mapema inatibika; wananchi wahimizwa kupima

Na Mwandishi Maalumu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kujenga utamaduni wa kupima saratani mara kwa mara ili kama watagundulika kuwa na ugonjwa huo waweze kupata matibabu mapema kwani saratani ikigundulika mapema inatibika. Wito huo umetolewa jana na Mkurugenzi Mtendaji…

Oryx Yatoa Mafunzo Matumizi Salama Nishati Safi ya Kupikia

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Oryx Gas Tanzania imetoa mafunzo ya matumizi salama na sahihi ya gesi ya kupikia kwa makundi ya wajasiriamali mbalimbali yakiwemo mama na baba…

Madereva TANESCO wahimizwa kuwa chachu ya utoaji huduma bora kwa wananchi

📌Watakiwa kutunza vyombo vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa huduma 📌TANESCO yanunua vyombo vya usafiri 982 kuimarisha utoaji wa huduma nchini Madereva wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa…

Makonda ; CRDB Zongo Mchongo waja na fursa kemkem

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuendelea kuwekeza katika utoaji wa elimu ya fedha kwa wananchi kupitia vipindi vya ubunifu, akisema hatua hiyo inaunga mkono juhudi za…