JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAMESOT yaendelea kuimarisha taaluma ya tiba asili nchini

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Pwani Chama cha waganga wa tiba asili na tiba mbadala nchini TAMESOT kimeendelea kuwafikia waganga kikiwa na malengo mahususi ikiwemo ya kuwapa elimu ya kuwajengea uelewa na uwezo thabiti katika kutoa huduma ya tiba asili. Hayo…

EWURA yapongezwa kwa ushirikiano, usimamizi wa mamlaka za maji nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) ameipatia tuzo Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kutambua mchango wake na unaotolewa na Mamlaka hiyo katika usimamizi wa Mamlaka za Majisafi na Usafi…

TFS yapiga hatua yafikia bilioni 189, Dk Abbasi aipongeza kwa mapinduzi

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeendelea kuonesha mwelekeo chanya wa ukusanyaji mapato baada ya kukusanya zaidi ya Sh bilioni 189 katika mwaka wa fedha uliopita, ikivuka lengo la Sh bilioni 176, hatua inayoashiria kuimarika kwa usimamizi na mageuzi…

Serikali yazikumbusha halmashauri kutumia nishati safi shuleni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewaelekeza wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikishia taasisi zao zikiwemo za elimu zinahamia katika nishati safi ya kupikia na kuachana na kuni na mkaa ifikapo Juni 30, 2026, hatua itakayosaidia kupunguza ukataji…

Hongera Chalamila kudhibiti wamachinga, tafuta bilioni 50

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Kwa muda mrefu Jiji la Dar es Salaam limekuwa kama linaishi kwa mazoea katika suala la kusimamia biashara za wamachinga. Si Dar es Salaam pekee, bali karibu mikoa yote ya Tanzania. Watu hawa ni nguzo…

Serikali yatoa bilioni 8 kujenga kituo cha umeme Imalilo – Simiyu

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme inayotekelezwa Mkoani Simiyu kwa lengo la kujionea maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati. Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa…