JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wafanyabiashara waipa tano Serikali kutoa ruzuku ya pembejeo kwa wakulima Ruvuma

Na Cresencia Kapinga, JamhuriMedia, Ruvuma UMOJA wa Mawakala wauzaji wa Pembejeo Mkoa wa Ruvuma (UWAPERU) wameishukuru Serikali kwa kutoa Ruzuku kwa wakulima ambapo katika msimu huu wa kilimo wakulima wamefaidika na ruzuku hiyo kwa kupata mbolea na kuongezea uzalishaji wa…

Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu – Kamishna Badru

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha shindano la mwezi mmoja la Safari Field Challenge akisisitiza kwamba Ngorongoro ni nyumbani kwa kila binadamu kutokana…

Waziri Mkuu: Tutaboresha bajeti ya elimu

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuboresha bajeti ya elimu wakati ikitekeleza mtaala mpya wa elimu ili kuziba mianya ya mahitaji shuleni. “Kwa kuwa tunaenda katika mtaala mpya wa elimu, tutaendelea kuboresha bajeti. Tutaendelea kuboresha bajeti kwa sababu…

Hakuna zuio la kuanza utekelezaji wa mradi wa LNG – Dk Mwigulu

*Serikali yatenga sh. bilioni 280 kama dhamana kwa uwekezaji kwa vijana WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hakuna zuio la kisheria wala la kikanuni linalosababisha kutokuanza utekelezaji wa Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia kuwa Kimiminika (LNG) wenye thamani shilingi trilioni…

Sheikh awasihi Watanzania kudumisha amani

*Awataka vijana kutulia, ataka vyombo vya habari kuwa makini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Watanzania wameombwa kuendelea kutunza na kulinda amani, umoja na mshikamano kwa nguvu zote kwa sababu ndio msingi mkubwa wa kupata maendeleo na mahitaji mengine. Wito huo…

Chimwejo: Sekta binfasi iongeze nguvu kuzalisha mabaharia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA bado inachangia chini ya asilimia moja ya mabaharia duniani, hali inayofungua fursa kubwa kwa sekta binafsi kuongeza juhudi za kuzalisha mabaharia wengi wenye ujuzi. Imeelezwa hatua hiyo itasaidia kufanikisha malengo ya maendeleo…