JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

NIRC, JKT yaungana kuongeza uzalishaji kupitia umwagiliaji

📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Tangu mwaka 2021, Jeshi limekuwa likiendeleza…

REA yamtaka mkandarasi Nothern Engineering Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi kwa wakati. Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya…

Mradi wa bilioni 15. 3 kusambaza umeme vitongoji 175 wapokelewa kwa shangwe Mtwara

📌Zaidi ya Kaya 5,600 kunufaika Wananchi wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao….

Rais TraorĂ© ‘afuta’ vyama vyote vya siasa Burkina Faso

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imefuta vyama vyote vya siasa na kufuta mfumo wa kisheria uliokuwa unasimamia uendeshaji wake, kwa mujibu wa amri iliyoidhinishwa na baraza la mawaziri la taifa hilo la Afrika Magharibi siku ya Alhamisi. Hatua hiyo,…

Dk Jafo aibana Wizara ya Ujenzi, barabara ya lami Mlandizi -Mzenga-Boga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mbunge wa Jimbo la  Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, amehoji mpango wa Serikali wa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mlandizi–Mzenga–Maneromango kwa kiwango cha lami, akisisitiza kuwa ni barabara muhimu kwa…

Rais Samia: Hakuna mtoto atafika darasa la tatu bila kujua kusoma na kuandika

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imejipanga kuhakikisha hakuna mtoto anayefika darasa la tatu bila kuwa na uwezo wa kusoma, kuandika na kuhesabu, akisisitiza kuwa…