JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Mwinyi ahudhuria Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za binadamu Z’bar

Baadhi ya Wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya  Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binaadamu yaliofanyika katika Ukumbi wa Maonesho Nyamanzi Magharibi B Zanzibar. Baadhi ya Wageni waalikwa  na Viongozi waliohudhuria katika hafla ya  Maadhimisho ya Siku ya…

Wakazi wa ndani wa taasisi za umma wapata mafunzo ya ukaguzi wa ESG

Na Joseph Mahumi Wakaguzi wa Ndani wa Serikali wameaswa kutazamia upya athari za mabadiliko ya kimazingira pindi wanapofanya ukaguzi katika masuala ya Mazingira, Kijamii na Utawala Bora (Environmental, Social, and Governance-ESG) na Ukaguzi wa Thamani ya Fedha (Value for Money-VFM)…

Mamia ya wanachama ACT Wazalendo wampokea Othman Masoud Pemba

Mamia ya wanachama na wafuasi wa chama cha ACT Wazalendo wamempokea Mwenyekiti wa chama hicho, Othman Masoud Othman, alipowasili katika Uwanja wa Ndege kisiwani Pemba. Wanachama hao walikuwa wakiimba nyimbo za hamasa na mshikamano, wakiahidi kutorudi nyuma katika mapambano ya…

RITA kutoa cheti cha kuzaliwa ndani ya saa 48 tu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua mpango mpya wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi, kwa kutumia…