Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia aiagiza Wizara ya Nishati kuimarisha akiba ya nishati ya mafuta
Na Aziza Nangwa JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Nishati imeagizwa kuimarisha akiba ya nishati ya mafuta ili kuongeza uwezo wa nchi kujilinda dhidi ya misukosuko ya kimataifa. Kauli hiyo imetolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan wakati akiweka jiwe…
FCC kuwalinda walaji
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Ushindani (FCC) imesema kuwa itaendelea kuchukua hatua katikakuhakikisha walaji wa bidhaa na huduma wanapata salama zinazokidhi viwango. Hayo ameyasema Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Khadija Ngasongwa wakati akitangaza…
Baada ya onyo kali la DC Kaslida, wafugaji aondoka Same kwa hiari
Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same WAFUGAJI wanaoishi nje ya wilaya ya Same ambao walikuwa wameingiza mifugo yao ndani ya wilaya hiyo katika vijiji vilivyopo kata ya Vumari bila kuwa na kibali wameanza kutii agizo la Mkuu wa wilaya hiyo, Kasilda…
Dk Jingu awataka wajasirimali kuongeza ubunifu kufikiasoko la kimataifa
Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amewataka wajasiriamali nchini kuongeza ubunifu katika uzalishaji wa bidhaa zao ili kupanua soko na kufikia ushindani katika soko la…





