JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

WMA yafunga mtambo wa kisasa unaohakiki dira za maji Dodoma

Na Veronica Simba – WMA Wakala wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa kuhakiki dira za maji katika jengo la makao yake makuu lililopo jijini Dodoma. Meneja Uhakiki wa Vipimo na Viwango wa WMA Makao Makuu, Magesa…

Rais Samia kufanya mazungumzo na viongozi mbalimbali Dubai

Leo Jumanne, Februari 3, 2026, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza ziara ya kikazi hapa Dubai, UAE kwa kufanya mazungumzo na viongozi na wadau wa kimataifa.  Katika ratiba ya leo, Rais Samia anakutana…

Katambi akutana na balozi wa Uingereza 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na Balozi wa Uingereza nchini,Marianne Young ambae aliambatana na Mkuu wa Usalama na Sheria,Alex Beck pamoja na Mkuu wa Ofisi ya Dodoma,Godfrida Magubo. Katika kikao hicho mambo mbalimbali yalijadiliwa chini ya…

Menejimenti ya TMDA yajipanga na Dira 2050

Menejimenti ya TMDA yakutana Morogoro tarehe 2 -3 Februari, 2026 kujadili rasimu ya Mpango Mkakati Mpya wa Mamlaka wa miaka mitano, 2026/27-2030/31 unaoakisi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050. Rasimu ya Mpango Mkakati huo ni ya Sita kufuatia kukamilika…