JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Netanyahu: Uwezo wa nyuklia wa Iran umerudishwa nyuma

Netanyahu ameongeza kwamba bila ya operesheni kubwa za kijeshi zilizofanywa kwa pamoja na Marekani basi huenda Iran ingekuwa tayari inayo mabomu ya nyuklia na mamilioni ya Waisrael sasa wangekabiliwa na vitisho. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kampeni ya…

CTI yafurahia mapendekezo 51 kuchukuliwa na Serikali Bajeti Kuu

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Wenye Viwanda Nchini (CTI), limepongeza Bajeti Kuu ya mwaka 2026/2027 ikisema kuwa kama itatekelezwa vizuri itasaidia kulinda na kustawisha viwanda vya ndani . Shirikisho hilo limesema serikali imechukua asilimia 50 ya mapendekezo ya wenye viwanda…

PSSSF yawaasa wabunge kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi za ndani kukuza viwanda, ajira

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF)Fortunatus Makore Magambo, amewataka Wabunge nchini kuwa mabalozi wa bidhaa za ngozi zinazozalishwa Tanzania kwa kuzitumia na kuzitangaza, ili kuchochea ukuaji wa viwanda…

Kiwanda kikubwa cha kuzalisha bidhaa za chuma kujengwa Nala, jijiji Dodoma

▪️Ni uwekezaji wa zaidi ya Tsh Bilioni 600 ▪️Malighafi ya madini chuma kutumika kama bidhaa kuu ▪️Ajira 1500 kuzalishwa, huku ujenzi ukikamilika ndani ya miezi 15 kuanzia Julai, 2026 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira rafiki ya Uwekezaji ▪️Waziri Mavunde apongeza…

Serikali yaendelea na mkakati wa Sinza kuwa kitovu cha makazi ya kisasa

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeendelea kusisitiza ushirikishwaji wa wananchi na wamiliki wa ardhi katika utekelezaji wa Mpango wa Uendelezaji Upya wa Eneo la Sinza jijini Dar es Salaam, unaotarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka 20 kuanzia mwaka 2026 hadi 2046….

Rais Samia kupokea gawio la Serikali Juni 30 Ikulu Dar

Naibu Msajili wa Hazina, Lightness Mauki, amesema Serikali itaendelea kuimarisha uwazi, uwajibikaji na usimamizi wa uwekezaji wa umma ili kuhakikisha rasilimali zilizowekezwa katika taasisi, mashirika ya umma na kampuni zenye hisa za Serikali zinaendelea kuleta tija kwa wananchi na taifa…