JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

TAKUKURU yakabidhi mashine za watoto njiti Hospitali ya Tumbi Pwani

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Bw. Crispin Francis Chalamila, amekabidhi mashine mbili za kuwahudumia watoto waliozaliwa kabla ya muda (watoto njiti) kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani (Tumbi), ikiwa ni sehemu ya…

Tanzania, Hungary kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongeza hatua ya Hungary kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi na Tanzania, hasa kupitia utekelezaji wa miradi ya maji na maendeleo ya kijamii. Pongezi hizo zilitolewa na Katibu…

Kapinga achangia vifaa vya ujenzi shule za msingi Ugano na Kibandai A Mbinga

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga amechangia vifaa vya ujenzi kwa Shule ya Msingi Ugano iliyopo Kata ya Kambarage na Shule ya Msingi Kibandai A iliyopo…

Sangu: e-Utatuzi italeta mapinduzi katika utoaji haki nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amesema kuwa mfumo mpya wa usajili wa mashauri ya usuluhishi na uamuzi kwa njia ya kidijitali unaofahamika kama e-Utatuzi,…

JAB yaonya waajiri katika vyombo vya habari

Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya Sheria ya Huduma za Habari, Sura ya 229, hususan wanapoajiri au kuwasainisha mikataba watumishi wa kada ya habari, ili kuepuka migogoro…

Kamati ya Bunge yaridhika upatikanaji dawa nchini na mipango ya uzalishaji

Na WAF, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini hali inayo fikia asilimia 90 ya bidhaa…