JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Malalamiko ya viwanja mbadala yapatiwa ufumbuzi Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyapatia ufumbuzi malalamiko ya muda mrefu ya viwanja mbadala kwa wananchi wa jiji la Dodoma. Suluhisho hilo linafuatia malalamiko ya takriban wananchi 4000 wa jiji…

Serikali yaweka mkakati wa kutangaza Tanzanite na madini ya vito nchini Qatar

■ Ni utekelezaji wa maagizo ya Mh Rais Samia kurudisha heshima ya Tanzanite ■ Mkutano wa wawekezaji na wafanyabiashara wa madini baina ya Nchi mbili kuandaliwa ■ Wafanyabiashara wa madini ya vito kushiriki maonesho ya bidhaa za madini Qatar mwezi…

Ilala yajivunia mafanikio ya ilani kipindi cha miaka minne ya Rais Samia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama ch Mapindizi (CCM) , Wilaya ya Ilala, imejivunia mafanikio kwa kipindi cha miaka minne chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan. Akiongea na waandishi wa habari mkuu wa wilaya Edward Mpogolo ,mara…

RC Chalamila akutana na Gavana wa Jimbo la Maniema – Congo DRC

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 25,2026 amekutana na Gavana wa Jimbo la Maniema-Congo DRC Mhe Mussa Kabwankubi Moise akiwa ameambatana na ujumbe wake alipomtembelea Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao…

JK aweka saini kitabu cha maombolezo kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu Kardinali Pengo

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete leo ameweka saini katika kitabu cha maombolezo ya kifo cha Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Katoliki la Dar es Salaam marehemu Muadhama Polycarp Kardinali Pengo katika kanisa la Mtakatifu Yosefu jijini. Dkt…