Category: MCHANGANYIKO
Prof. Shemdoe apiga ‘stop’ uhamisho wa watumishi wenye changamoto za kinidhamu
Na OWM – TAMISEMI, Muheza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaelekeza Makatibu Tawala wa Mikoa na Wakurugenzi wa Halmashauri kutowahamisha au kuwaombea uhamisho watumishi wanaobainika kuwa na changamoto za kinidhamu katika Mamlaka za…
REA yaanza usambazaji majiko banifu 6,692 Singida
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Wakala wa Nishati Vijijini imeanza utekelezaji wa mpango mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia ili kufikia lengo la zaidi ya asilimia themanini 80% ya watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya…
MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache (Minority Interests Forum-MIF 2026) utakuwa jukwaa mahususi la kujadili, pamoja na mambo mengine, mikakati…
Ni jambo la faraja NMB kuwakutanisha wateja wake kwenye iftar : Hemed
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo la faraja kuona Benki ya NMB inaendelea na utaratibu wake wa kuwakutanisha pamoja wateja wake, wadau na watoto yatima kwa lengo la kupata Iftari ya pamoja…
Dk Mwigulu akagua maendeleo ya ujenzi mradi wa stendi ya mabasi Arusha
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 24, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo Mikoani unaotekelezwa katika eneo la Bondeni City katika Halmashauri ya Jiji la Arusha. Mradi huo ambao utagharimu shilingi bilioni…





