JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Makusanyo ya madini Simiyu yavuka malengo, yafikia zaidi ya asilimia 103

Na Mwandishi Wetu, Simiyu AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo na Sekta ya Madini, ambapo makusanyo ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/2026 yamevuka…

Bunge la 13 laanza rasmi, Zungu na Solo watarajiwa kuongoza

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza rasmi vikao vyake leo jijini Dodoma, likifungua ukurasa mpya wa safari ya miaka mitano ya kusimamia sera, sheria na mipango ya maendeleo ya Taifa. Katika kikao cha…

Dk. Nyansaho ni uteuzi sahihi kwa uwakilishi wa vijana

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Novemba 10, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wabunge sita katika nafasi 10 anazopewa kikatiba. Walioteuliwa ni Dk. Rhimo Nyansaho, Balozi Dk. Bashiru…