JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mwigulu Nchemba ni Waziri Mkuu wa 12 nchini

Rais Samia Suluhu Hassan leo amewasilisha bungeni jina la Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Spika Mussa Zungu alipokea hati ya uteuzi huo kutoka kwa Rais Samia na…

ACT Wazalendo : Watawala zingatieni viapo vyenu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NGOME ya Vijana Taifa ACT Wazalendo imewashauri watawala wanaopa kwa Kutumia vya vitabu vya dini kwa imani zao ambavyo pia vimeagiza kudumisha haki . Qur’an katika surat An-Nahl aya ya 16:90, Mungu anaagiza…

Dk Shemelewa atoa rai usimamizi madhubuti miradi ya maendeleo Kibaha Mjini

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Manispaa ya Mji Kibaha, Dkt. Rogers Shemwelekwa, ametoa rai kwa viongozi wa kata na mitaa kuhakikisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa, ili wananchi waweze…

TTCL yazindua kifurushi kipya cha Faiba mlangoni kwako

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limezindua kifurushi kipya cha Faiba mlangoni kwako kinachojulikana kama T-Fiber Triple Hub kinachotoa huduma tatu muhimu katika kifurushi kimoja ikiwemo intaneti ya kasi kubwa, simu ya mezani na…

Serikali yajidhatiti kuendelea kuiboresha sekta ya Horticulture

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema itaendelea na jitihada zake za kukuza sekta ya horticulture kama injini muhimu ya mageuzi ya kiuchumi, ajira, kipato na mauzo ya nje. Kauli hiyo imetolewa leo Novemba 12,2025 Jijini Dar es…

Waethiopia 38 washikiliwa kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Tadesa Limoli (32) raia wa nchini Ethiopia na wenzake 37 wote wanaume kwa kosa la kuingia nchini kinyume cha sheria. Watuhumiwa walikamatwa mnamo Novemba 11, 2025 huko katika Pori la ranchi ya Matebete…