Category: MCHANGANYIKO
Kodi zetu ni mzigo kwa wale wale
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, chini ya Balozi Ombeni Sefue, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita. Tume imekuja na mapendekezo 284. Si madogo,…
TMA JNIA yatoa elimu kwa jamii kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani 2026
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kituo cha Hali ya Hewa cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu kwa wadau…
Tanzania yaadhimisha Siku ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi wake, hususan vijana, kutambua na kujivunia historia ya taifa pamoja na mchango wake katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika. Wito huo umetolewa wakati wa maadhimisho ya…
Dk Yonazi akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TACAIDS Dk MRISHO
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Adam Joseph…
Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa
📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha…





