Category: MCHANGANYIKO
EWURA yapongezwa kwa ushirikiano, usimamizi wa mamlaka za maji nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Maji Jumaa Aweso (Mb) ameipatia tuzo Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kutambua mchango wake na unaotolewa na Mamlaka hiyo katika usimamizi wa Mamlaka za Majisafi na Usafi…
TFS yapiga hatua yafikia bilioni 189, Dk Abbasi aipongeza kwa mapinduzi
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imeendelea kuonesha mwelekeo chanya wa ukusanyaji mapato baada ya kukusanya zaidi ya Sh bilioni 189 katika mwaka wa fedha uliopita, ikivuka lengo la Sh bilioni 176, hatua inayoashiria kuimarika kwa usimamizi na mageuzi…
Serikali yazikumbusha halmashauri kutumia nishati safi shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imewaelekeza wakurugenzi wa halmashauri zote nchini kuhakikishia taasisi zao zikiwemo za elimu zinahamia katika nishati safi ya kupikia na kuachana na kuni na mkaa ifikapo Juni 30, 2026, hatua itakayosaidia kupunguza ukataji…
Hongera Chalamila kudhibiti wamachinga, tafuta bilioni 50
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Kwa muda mrefu Jiji la Dar es Salaam limekuwa kama linaishi kwa mazoea katika suala la kusimamia biashara za wamachinga. Si Dar es Salaam pekee, bali karibu mikoa yote ya Tanzania. Watu hawa ni nguzo…
Serikali yatoa bilioni 8 kujenga kituo cha umeme Imalilo – Simiyu
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Lazaro Twange, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme inayotekelezwa Mkoani Simiyu kwa lengo la kujionea maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuhakikisha inakamilika kwa wakati. Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi wa…
Vikwazo vitano vya biashara Tunduma na Nakonde vyapatiwa ufumbuzi
Vikwazo vitano visivyo vya kikodi kati ya kumi vilivyokuwa vikisababisha msongamano mkubwa wa malori na usumbufu kwa wafanyabiashara na wasafirishaji katika mpaka wa Tunduma/Nakonde, zimepatiwa ufumbuzi kupitia juhudi za pamoja za Serikali za Tanzania na Zambia. Hatua hiyo inatajwa kuwa…





