Yanga yashindwa kuweka historia, Mayele akichukua kiatu cha dhahabu
Klabu ya Yanga imeshindwa kuwa mabingwa licha kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya USM Algers kwenye mchezo wa Fainali kombe la Shirikisho mkondo wa pili mara baada ya matokeo ya kwanza akiwanyumbani kuruhusu kufungwa mabao 2-1. Katika mchezo huo ambao ulijaa vitimbwi mbalimbali kutoka kwa mashabiki wa USM Algers hasa kuwasha mafataki na kusababisha…