JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Michezo

TPBCA yatangaza ‘Boxing Media Day’ Aprili 15, walimu wa ngumi washauriwa kujipanga

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dar es Salaam Chama cha Makocha wa Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBCA) kimetangaza kufanyika kwa tukio maalum la Boxing Media Day litakalofanyika Aprili 15, 2026, likiwa na lengo la kuibua vipaji, kuhamasisha maendeleo ya mabondia,…

Kipenzi ashauri mambo matatu Dorefa, ataka soka lichezwe wilayani

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwenyekiti wa zamani wa Soka Mkoa wa Dodoma,(DOREFA) Nassoro Kipenzi ameshauri mambo matatu kwa Chama cha Soka Mkoani Dodoma ikiwemo kuhakikisha soka linachezwa wilayani. Kipenzi ametoa kauli hiyo leo Machi 28,2026 wakati akizungumza katika Mkutano Mkuu wa…

Waziri Makonda abainisha madudu ndani ya mashirikisho ya michezo awapa onyo viongozi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema migogoro inayojitokeza katika mashirikisho na vyama vya michezo nchini inaathiri kwa kiasi kikubwa maendeleo ya sekta hiyo na kusababisha vipaji vya vijana kupotea. Makonda…

CRDB yawataka wananchi kuchanja kidigitali ili kushinda safari ya kungalia kombe la Dunia

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Benki ya CRDB imewataka wananchi kuchanja kidital ili kushinda safari ya kwenda kungalia kombe la Dunia Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi wa wateja wadogo na wakati Boniventure Paul ,alipokuwa akizindua kampeni ya…

Simba, Yanga nguvu moja

Watani wa jadi Simba SC na Yanga SC wamefanikiwa kutoka sare tasa ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo, Machi 1, 2026, katika Uwanja wa Amani, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo ulikuwa na ushindani mkubwa, huku…

Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars). Waziri Makonda amesema hayo wakati akizungumza na…