JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Makala

Zitto : Ni haki yetu kikatiba kushiriki Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo kwasababu ni haki yao ya kikatiba . Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara wa chama hicho cha…

Wananchi Manyara wanatambua falsafa za Mwenge wa Uhuru – RC Sendiga

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Manyara Mbio za Mwenge wa Uhuru hufanyika kila mwaka na kukimbizwa nchi nzima ikiashiria kuangaza nchi na kuvuka mipaka kuleta matumaini palipo kukata tamaa, upendo palipo uadui na heshima palipo chuki. Mwenge wa Uhuru hapa nchini…

‘Siku damu ilipogeuka mto, mashujaa 800 wa Litembo waliposimama kwa mishale dhidi ya bunduki’

Na Albano Midelo, JamhuriMedia, Ruvuma Jua lilipozama Machi 4, 1902, milima ya Umatengo haikulisindikiza kwa machweo ya kawaida. Badala yake, anga lilitawaliwa na moshi mzito wa bunduki, vilio vya kina mama, na sauti za mwisho za mashujaa waliokataa kupigishwa magoti…

Mguso wa Bajeti 2025 TANAPA, NCAA

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Hatimaye, baada ya miaka kadhaa ya maombi ya wadau wa uhifadhi nchini, Serikali imekisikia kilio chao na kufanya marekebisho kadhaa katika Sheria ya Fedha; yatakayoimarisha shughuli za uhifadhi wa mazingira, wanyamapori na utalii kwa ujumla….

Wasira aeleza sababu zinazoifanya CCM idumu

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza mambo mbalimbali yanayoifanya CCM kuwa idumu. Mojawapo ya sababu hizo ni wajibu wake wa majukumu endelevu ya kuwatumikia Watanzania. Amesema kutokana na umuhimu wa majukumu hayo kwa ustawi…

Ukikwamwa na mwiba wa samaki kooni, fanya hivi kuutoa

KITOWEO cha mchuzi wa Samaki ni mlo mzuri sana kwa wale wasiopenda mboga. Kuna aina nyingi ya samaki wanaopatikana, ikiwa ni pamoja na samaki wa baharini na samaki wa maji safi. Watu wengi wamekuwa wakila samaki kwa madai kwamba wana…