Watoto 10 kufanyiwa upasuaji Zambia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar Watoto 10 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wanatarajia kufanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu ya upasuaji inayofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Moyo ya nchini Zambia. Kambi hiyo ya upasuaji ya siku nne inafanywa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao…

Read More

Vitendo vionekane mapambano afya ya akili

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Geita Maneno matupu hayavunji mfupa. Msemo huu hulenga kuihamasisha jamii kuchukua hatua sahihi za kiutendaji ili kufikia malengo kusudiwa badala ya kuzungumza sana pasipo utekelezaji wowote. Kwa muda mrefu jamii imekuwa na mtazamo wa shaka katika utekelezaji wa mambo kadha wa kadha kutokana na baadhi ya viongozi kuwa na maneno mengi…

Read More

Tahadhari inapunguza athari za El Nino

Na Stella Aron, JamhuriMedia Dunia kwa sasa inakabiliwa na mabadiliko yua tabia nchi na kuwepo kwa madhara ambayo tayari kwa Bara la Afrika yamenza kuonekana. Ulimwengu umeingia rasmi katika kipindi cha El Nino, kulingana na Shirika la Sayansi la Marekani (NOAA), Shirika la Hali ya Hewa Ulimwenguni (WMO) na Umoja wa Mataifa ambapo zimetoa taarifa…

Read More