Kocha Jose Mourinho akipongezana na Ed Woodward (kushoto) baada kuweka wino mpya.

Kocha Jose Mourinho sasa ataifundisha Manchester United hadi mwaka 2020.
Mourinho raia wa Ureno ameongeza mkataba huo wa miaka mitatu kwa mwaka mmoja zaidi.
Pamoja na kwamba mashabiki wamekuwa wana hofu huenda ataondoka lakini uongozi unaonekana kumuamini zaidi.

VIKOMBE ALIVYOBEBA AKIWA NA UNITED:
Community Shield (2016)
League Cup (2016-17)
Europa League (2016-17)

By Jamhuri