Daniel Chongolo, Mkuu wa wilaya ya Kinondon akichukua nafasi ya Ally Hapi
Lengay Ole Sabaya Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ameteuliwa leo
Moses Machali Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara ameteuliwa.
Jokate Mwegelo Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.
Patrobas Katambi ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma.
Jerry Muro Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.

 

Rais Magufuli amemteua Jokate Mwegelo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Aidha, amemteua David Kafulila kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe
Rais Magufuli amemteua Jerry Muro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na Patrobas Katambi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma.
Rais Magufuli amemteua Ndg. Moses Machali kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu na Ndg. Lengay Ole Sabaya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai
Pia amemteua Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni akichukua nafasi ya Ally Hapi ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa

By Jamhuri