Latest Posts
Bohari ya dawa nchini Tanzania yavutia Sierra Leone kujifunza namna ya utoaji huduma bora
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia Dar es Salaam Bohari ya Dawa Nchini Tanzania (MSD) imepokea ujumbe kutoka Bohari ya Dawa ya Sierra leone uliokuja kujifunza namna ya kuboresha mifumo ya utoaji wa huduma ya dawa nchini kwao . Akizungumza Aprili 29 ,2024…
Bashungwa : Barabara zote zilizoathiriwa na El Nino kufunguliwa kwa wakati
Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS)…
Somalia kushirikiana kwa karibu na MSD
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema nchi yake imeamua kushirikiana kwa karibu na Bohari ya Dawa ya Tanzania katika ununuzi wa bidhaa za afya na kubadilishana uzoefu wa namna mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya unavyofanya kazi. Rais…
Majaliwa kushuhudia utiaji saini mikataba 20 ya miradi ya umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika utiaji saini mikataba 20 ya ukarabati na ujenzi wa miradi ya umwagiliaji baina ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji chini ya Wizara ya Kilimo na Wakandarasi…





