Latest Posts
Uongozi mpya NaCoNGO kuelekeza umakini wake kwenye vipaumbele vya utekelezaji
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Baraza la Taifa la mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) baada ya kufanya uchaguzi wake na kuwapata viongozi wapya, sasa limeelekeza umakini wake kwenye utekelezaji wa vipaumbele vyake vitakavyo saidia kukuza na kuyainua mashirika yasiyokuwa ya…
kukumbatia tamaduni za kigeni ni hatari kwa maendeleo ya nchi – Dk Biteko
📌 Asema ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili 📌 Ahusisha na ukatili wa kijinsia na mauaji ya Albino Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka…
Serikali kuweka mkazo wa maendeleo vijijini kupitia TARURA
Na Catherine Sungura, JamhuriMedia, Dodoma Serikali itaendelea kuweka mkazo wa kipekee katika kusukuma maendeleo vijijini kama njia sahihi ya kuchochoa uchumi jumuishi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo wakati wa…
Bodi ya NHC yajionea maendeleo ya miradi iliyopo Dar es Salaam
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), imejionea maendeleo ya miradi mbalimbali iliyopo Dar es Salaam ili kuona juhudi zinazofanywa na timu ya ujenzi chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu…
NHC kuanzisha mkoa mpya wa kiutendaji wa Urafiki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika kuunga mkonono juhudi za Rais Samia Suluhu Hasan, za kuchochea maendeleo, Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuanzisha mkoa mpya wa kiutendaji wa Urafiki. Akitangaza dhamira hiyo imeelezwa na Mkurugenzi Mkuu…
Serikali inakiongezea uwezo kituo cha kupoza umeme Mbagala – Kapinga
📌 Lengo ni kuondoa changamoto ya kukatika umeme Mbagala 📌 Asema mradi wa kupeleka umeme eneo la Kitume – Bagamoyo wafikia asilimia 57 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali inafanya upanuzi…





