JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wakurugenzi wa Halmashauri watakaoshindwa kutekeleza ujenzi wa miradi ya afya kuchukuliwa hatua

Na: James Mwanamyoto-OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema hatosita kumchukulia hatua Mkurugenzi yeyote wa Halmashauri ambaye atabainika kushindwa kutekeleza kikamilifu ujenzi wa miradi ya miundombinu ya afya…

Mkutano wa AGRF watamatika kwa kishindo, historia yaandikwa

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA Dar es Salaam. Viongozi wa Afrika wamekusanyika leo Septemba 08, 2023 Dar es Salaam Tanzania ikiwa ni kilele kama sehemu ya Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika 2023. Jukwaa hilo lililohitimishwa leo mchana limekusanya zaidi…

CP Dk Mussa aagwa rasmi baada ya kumaliza utumishi wake jeshini

Na Abel Paul wa Jeshi la Polisi- Dar es salaam Jeshi la Polisi Nchini limemuaga rasmi aliyekuwa kamishna wa Kamisheni ya ushirikishwaji Jamii ambae kwa sasa ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Kamishna wa Jeshi la Polisi mstaafu CP…

Maono ya Rais Dk Samia yaipeleka Taifa Stars AFCON

Na Eleuteri Mangi, WUSM Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro ameipongeza Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Tanzania (Taifa Stars) kwa kufuzu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON, 2023 zitakazofanyika mapema…

Majaliwa aipa tano Taifa Stars

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza timu ya Taifa ya mpira wa miguu (Taifa Stars) kwa kufuzu kuingia michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Africa Cup of Nations 2024) itakayofanyika nchini Ivory Coast. Ametoa pongezi hizo leo (Ijumaa, Septemba 8,…