Latest Posts
Bodi ya REA yataka umeme vijijini utumike kuzalisha mali
Na Veronica Simba – REA Bodi ya Nishati Vijijini (REB) inayosimamia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa wito kwa wananchi walionufaika kwa kupata umeme kupitia miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wakala hiyo, kuitumia nishati hiyo kwa shughuli za uzalishaji mali ili…
NMB yabainisha mikakati ya kuwakwamua wakulima wadogo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wakulima wadogo wana mchango mkubwa katika kuhakikisha utoshelevu na uhakika wa chakula nchini jambo ambalo Benki ya NMB imeahidi kuendelea kulifadhili na kuliunga mkono kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa ndani na nje ya nchi. Akizungumza…
Mavunde aipongeza STAMICO kwa kupiga hatua na kujitegemea
#Aitaka kuchukua mafanikio kama kichocheo #STAMICO yabainisha mipango yake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Madini Anthony Mavunde amelipongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa hatua kubwa iliyopigwa katika kipindi kifupi kutoka kuwa Shirika tegemezi na kuwa Shirika…
Serikali yaimarisha mazingira ya uwekezaji sekta ya mifugo
Serikali ya Tanzania imesema kuwa imeboresha na kuimarisha mazingira ya kiuwekezaji katika sekta ya mifugo kwa kuondoa baadhi ya ushuru, kodi na vikwazo vya kikodi katika biashara ya mifugo na mazao yake . Hayo yamelezwa na Waziri wa Mifugo na…