MANCHESTER UNITED YAIADHIBU CRYSTAL PALCE KWA MBINDE
Manchester United imerudi kwenye nafasi yake ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Crystal Palace. Mchezo huo ambao ulikuwa na matokeo hasi kwa Manchester United katika kipindi cha kwanza, ulimalizika huku Palace akiwa na bao moja lililofungwa na Townsend dakika ya 11. Mpaka mapumziko…