MANCHESTER UNITED YAIADHIBU CRYSTAL PALCE KWA MBINDE

Nemanja Matic whacks a late winner for Manchester United with a swing of his left boot to leave Selhurst Park stunned

Manchester United imerudi kwenye nafasi yake ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Crystal Palace.

The Serbia international struck through his laces and across the ball to help it arrow into the top corner of the net

Mchezo huo ambao ulikuwa na matokeo hasi kwa Manchester United katika kipindi cha kwanza, ulimalizika huku Palace akiwa na bao moja lililofungwa na Townsend dakika ya 11.

Manchester United star Juan Mata celebrates after his second-half cameo helped the visitors claim an unlikely victory

Mpaka mapumziko Palace alikuwa mbele kwa bao 1-0.

Kipindi cha pili kilipoanz, Palace walifunga bao la pili na kuufanya mchezo uwe mgumu kwa United baada ya van Aanholt kufunga bao dakika ya 48 ya mchezo.

United walirudi kwa kasi mnamo dakika ya 55 Smalling alifunga, baadaye dakika ya 76 Lukaku naye akacheka na nyavu na mchezo kuwa sare ya 2-2.

Dakika za mwisho kabisa ikiwa imeongezwa moja mchezo umalizike, Matic alipigilia msumari wa mwisho na kufanya matokeo yawe 2-3.

Crystal Palace's players look dejected after falling to a late defeat that left them stranded in the relegation zone

United sasa imerudi tena nafasi ya pili kwa kufikisha alama 62, juu ya Liverpool iliyo na 60.

VIDEO: MAGOLI YALIVYOFUNGWA