Month: June 2017
Atafuna mamilioni ya kijiji
Wananchi wa Kijiji cha Sango, Kata ya Kimochi, Wilaya ya Moshi Vijijini, wamepoteza mapato yanayofikia Sh milioni 60 katika kipindi cha miaka mitatu kutokana na fedha hizo kuliwa na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho. Wananchi hao wamelieleza JAMHURI kuwa fedha…
Ndugu Rais ‘walidhani nitakuwa nao’ tumaini lililorejea
Ndugu Rais, kama kuna wakati uligusa mioyo ya Watanzania na hasa masikini, ni pale uliposema, “Walidhani nitakuwa pamoja nao!” Kama hii ilikuwa ni ahadi, basi ni ahadi iliyotoka juu! Nina hakika hii haimo katika ilani ya chama chako. Kwa ahadi…
Yah: Nayaona mabadiliko yajayo kwa kasi isiyotarajiwa
Kuna wakati niliwahi kuandika katika waraka wangu kwamba kuna mabadiliko makubwa yajayo ambayo nayaona njozini, nilisema nikijihami kwamba labda ipo siku yanaweza kukwama, mkwamo ambao ungesababishwa na kusita kwa baadhi ya watu katika kutekeleza azma ya pamoja kukubaliana na kaulimbiu…
Madini ya Tanzania ni mali ya nani?
Nimepata kumsikia kiongozi mmoja wa siasa nchini akisema kuwa yanayotekelezwa na Rais John Pombe Magufuli kuhusu kudhibiti wizi na utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi, ni msimamo wake na ni ajenda ya chama chake cha siasa, ingawa chama chake…
Walijaribu ushoga wakafeli, wamegeukia mimba za wanafunzi
Rais John Magufuli ameutolea uamuzi mjadala wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari wanaopata mimba. Rais Magufuli, akiwahutubia wananchi mkoani Pwani, amesema bayana kuwa hayuko tayari kuona wanafunzi wanaotiwa mimba wakiendelea na masomo katika shule za Serikali. Akayaambia mashirika…
Waziri Mwigulu unasubiri nini?
Kwanza nianze kwa kumsalimia kaka na rafiki yangu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba. Salamu hizi ni salamu za dhati kutokana na malezi niliyopewa na walezi wangu. Shikamoo Mheshimiwa Waziri. Mwigulu ni kaka na rafiki yangu. Mtanzania…