JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: July 2017

Whoever paid the most attention was a three year-old boy. Bear in mind that you do not over it. Keep that question in the rear of your mind while you read on. Ideally, make something you have zero idea how…

Wizi Tanzanite

Madini ya tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi yanadaiwa kutoroshwa kutoka katika mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mererani mkoani Manyara. Mgodi huo unamilikiwa kwa ubia na kampuni ya Sky Associates Limited na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO). Wakurugenzi wa…

Kenya wafurahi Harbinder kuswekwa rumande

Wakati mfanyabiashara maarufu Harbinder Singh Sethi akiendelea kusota rumande kutokana na kesi inayomkabiri kuhusu sakata la akaunti ya Escrow, yenye mashtaka 12, vyombo vya habari nchini Kenya vimeandika kashfa kadhaa zilizowahi kufanywa na mfanyabiashara huyo. Mtandao wa Standard Digital wa…

Mbunge Mafia alia na Dk Machumu

Mbunge wa Mafia, Mbaraka Dau amesema Taasisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) imekuwa ikiwaibia mapato halmashauri ya Mafia, yatokanayo na ada ya tozo la kiingilio kwenye maeneo iliyoyachukua kwa ajili ya shughuli za uhifadhi. Dau amesema taasisi…

Tusikubali kuibiwa tena

Kwa miezi miwili sasa tumekuwa tukishuhudia taarifa zenye kupasua mioyo ya Watanzania wanaoishi kwa mlo mmoja na kuishi katika umaskini wa kutupwa. Watanzania wamesikia taarifa za nchi hii kuibiwa wastani wa Sh trilioni 108 kupitia makinikia yaliyosafirishwa nje ya nchi…

Awadhi awatumia salamu madereva

Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Dar es Salaam, ACP Awadhi Haji amewataka askari wote wa Usalama barabarani katika Mkoa wake kusimamia maadili ya kazi hiyo na kuonya juu ya askari wanaoendelea kujihusisha na vitendo vya upokeaji rushwa….